Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Mkuu HISTORY ilikupita kushoto nini? VASCO DA GAMA si ndio wale ktk agents of colonialism - Explorers, Missionaries & Traders, sasa V. D. Gama alikuwa anaplay role zote, ila sifa yake kubwa ni MSAFIRI mashuhuri!
Duu pole sana ila mwanaume unatakiwa uwe jasiri usiogope short gun wala FFU.
Kifungo cha maisha hakitoshi, tena kil nikisikia habari zao napata hasira, bora wafe tu, wamewaharibu watoto wadogo.
Watu kama hawa hata jela wanatengwa, bora wakatwe korodani zao nyambaf.
Shenz taipu,mjinga we usiye na huruma,huna akili ya ku figure out,mtu huwezi kubaka watoto wewe na wanao watatu,vasco da gama ni noma,halafu nyie wanachama wa buku 7 mliotuharibia nchi,¥@§¤ zenu wote m....bwa nyie,siwapendi natamani siku moja serikali yote ya buku 7 ipande ndege moja na kisha ipotee jumla kama ya malaysia ili wananchi tupumzike.
Vasco da gama ndio nani