Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Nchi ya Uganda ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na maziwa mengi barani Africa. Ikiwa na maziwa 69. Ziwa linahesabiwa iwapo eneo la maji kwa kiwango cha chini ni ekari 5 na wakati mwingine kuanzia ekari 20. List hii.
1. Uganda 69
2. Kenya 64
3. Cameroon 59
4. Tanzania 49
5. Ethiopia 46
6. SA 37
7. Rwanda 29
8. Ghana 29
9. Moroccco 26
10. Madagascar 25
Duniani nchi inayoongoza kuwa na maziwa mengi ni Canada. Ina maziwa milioni 2.
Kwa maoni yangu Tanzania kuna maziwa mengi yenye ukubwa wa kuanzia ekari 20 zaidi ya hayo 49. Tukiyahesabu na kuyadocuments vizuri tutayapita hayo 69 ya Uganda. Tuyataje maziwa tunayoyafahamu ili tupite hiyo rekodi ya Uganda.
1. Victoria
2. Tanganyika
3. Nyasa
4. Rukwa
5. Eyasi
6. Manyara
7. Natron
8. Jipe
9. Duluti
10. Burigi
11. Masoko
12. Ngosi
13. Singida
14. . . . .
1. Uganda 69
2. Kenya 64
3. Cameroon 59
4. Tanzania 49
5. Ethiopia 46
6. SA 37
7. Rwanda 29
8. Ghana 29
9. Moroccco 26
10. Madagascar 25
Duniani nchi inayoongoza kuwa na maziwa mengi ni Canada. Ina maziwa milioni 2.
Kwa maoni yangu Tanzania kuna maziwa mengi yenye ukubwa wa kuanzia ekari 20 zaidi ya hayo 49. Tukiyahesabu na kuyadocuments vizuri tutayapita hayo 69 ya Uganda. Tuyataje maziwa tunayoyafahamu ili tupite hiyo rekodi ya Uganda.
1. Victoria
2. Tanganyika
3. Nyasa
4. Rukwa
5. Eyasi
6. Manyara
7. Natron
8. Jipe
9. Duluti
10. Burigi
11. Masoko
12. Ngosi
13. Singida
14. . . . .