FUN Game.Uzi wa kuunganisha majina tuone yapi yanaleta maana au kuchekesha.

FUN Game.Uzi wa kuunganisha majina tuone yapi yanaleta maana au kuchekesha.

mchemsho

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2011
Posts
3,230
Reaction score
933
Kwa mfano Mimi muanzisha Uzi mchangiaji wa kwanza atakayeni"quote" mchangiaji wa pili atatakiwa ku comment Kwa kuunganisha jina langu na la Yule mchangiaji wa Kwanza, and the game continues, let's go..
 
Back
Top Bottom