Pole sana mkuu.
Ni kweli Kuna wakati unahitaji fundi.wa kazi furani, unajikuta kwenye uchaguzi usio sahihi.kwa sababu ya
1-Kama unatoa pesa ndogo kwa fundi mara nyingi unapata fundi wa viwango vya chini.
2-Una mlipa fundi hela ya kutosha ila hujui kuchagua fundi lazima ubaki na majonzi.
3-Usimamizi hafifu, msongo utakuhusu.
N.k
UVIMO wakati tunafanya kazi za wayaringi ,tulikutana na kadhia hii(pichani) na bosi alilaani sana kazi yetu ila bbada ya kumwelewesha alielewa.
Swich zilikuwa chini ya levo ya plasta, hii ni kosa,nyumba inabaki na mwonekano mbaya.
Kawaida swich ibaki juu ya plasta hapo inape deza na kuongeza furaha kwako.
UVIMO Tuna tumia mafundi wetu kuanzi msingi ,kupaua, umeme na fininishing xote kuepuka haya.
Pole jipe.muda usafishe yataosha.
View attachment 1677998View attachment 1677999View attachment 1678000