Fundi kupaua mapaa ya kisasa nipo hapa 0743257669

Fundi kupaua mapaa ya kisasa nipo hapa 0743257669

stabilityman

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2024
Posts
259
Reaction score
483
Hii ni nyumba ya ya vyumba 3 vya kulala

Mbao za 2/2 mbao 130
Mbao za 2/4 mbao 150
Misumali kg 45 ya inch 4
Mbao za fisherboard 18
Rangi sado 1
Kofia 26
Valley 18
Misumali ya bati pakt 30.
Bati 140
Nipigie au nichek Whatsapp 0743257669 tufanye kazi
Tunapatikana ukonga dsm
1694086411835.jpg
 
Kila la heri mkuu, kazi nzuri.

Hiyo pichani gharama zako za ufundi ni kiasi gani?
Ghalama za ufundi inategemea na eneo ambalo tunafanya kazi
Kwa dsm ghalama n nafuu zaid kwa sababu nyumban ila kwa mkoan ghalama inaongezeka kdg kutokana na nauli na malazi
 
Kazi mzuri, hiyo rangi uliyojumuhisha ina kazi gani na vipi unatoa warranty in a case paa likiwa linapitisha maji?.

Mwisho, naomba hiyo ramani hata kwa mchoro wa pen.
 
Nahitaji Fundi JF

Mie Ni CHINGA nina Flemu nachukia WATEJA na Namiliki HELCOPTA pale Mwenge Jiulize hela Hapata Wapi... Nikimuona tu mteja Nampa Ugonjwa


🏊🏊🏊🏊🏊🏊 kwenda USA kucheck madhara Ya nyumba Yangu ilioungua moto - Nilijenga kwa Tabu Sana kwa Hela za Unyanganyi, Uporaji, Ufisadi, UONGO wa Kuwabambikia kesi Simba kuwa hawajafuzu


Screenshot_2025-01-18-14-45-01-26.png
 
Ghalama za ufundi inategemea na eneo ambalo tunafanya kazi
Kwa dsm ghalama n nafuu zaid kwa sababu nyumban ila kwa mkoan ghalama inaongezeka kdg kutokana na nauli na malazi
Umeulizwa hiyo uliopaua hapo gharama zako, unaanza kutaja DSM
 
Back
Top Bottom