Fundi Maiko Tukutane hapa!!

Fundi Maiko Tukutane hapa!!

Kiokotee

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
1,675
Reaction score
2,211
Dah! Aisee Acheni jamani Yanatukuta mengi Hamjui tu,Utundu wa kujifanya Fundi umeme kila switch nyumbani naweka mwenyewe kuna siku Nikavamia ile Inaitwa Junction Box kwa Jirani...Acheni Jamani Kumbe Tangu siku Ile Sishangai kuona samaki Anazama Baharini.

images (3).jpg


images (2).jpg
 
Dah! Aisee Acheni jamani Yanatukuta mengi Hamjui tu,Utundu wa kujifanya Fundi umeme kila switch nyumbani naweka mwenyewe kuna siku Nikavamia ile Inaitwa Junction Box kwa Jirani...Acheni Jamani Kumbe Tangu siku Ile Sishangai kuona samaki Anazama Baharini.

View attachment 2219336

View attachment 2219337
Asilimia 99 za nyumba za Makazi Tanzania zinajengwa na fundi Michael

Ghorofa zote ninazozifahamu kabla maeneo hayajawa na watu wengi Wanatumika Fundi Michael

Maeneo ya Mbezi Beach, Ununio, Mbweni wanajenga ni Fundi Michael

Sasa wewe kelele unaishi maeneo gani ambako kuna matajiri wanatumia Makampuni toka China engineering, au Japanese International Construction

Tanzania hii maeneo mengi ni Slum tu

Maeneo ambayo yamepangwa kidogo ni mjini tena baadhi ya mikoa kama Mtwara mjini, Ruvuma pale Songea mjini. Lakini Mbeya, Dar, Arusha, Mwanza zimejaa slums na uchafu tu

Fundi Michael wanajenga kila kona mpaka maghorofa ya kariakoo wamejaa mafundi Michael kibao

Sasa wewe unaongelea Marekani? Kama Tanzania watu wanajenga kwa kuunga unga tu
 
Back
Top Bottom