Mimi ninazo nilinunua mbili kwa wapangaji bei yake moja laki na 30 unaingiza kawaida token mbil ila jichanganye ununue za laki unanunua umeme wa link sasa kuipata hiyo link ni kama vile unataka kutoa hela tigopesa alafu mtandao unasumbua utakesha ila kama unqfunga zile za laki ufunge kwa wapangaji wote au uache kwako