Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 Dec 31, 2024 #1 Wale mnaojua fundi nzuri WA Samsung kawe. Ama mwenge ama kariakoo Naomba tuambiane Mwanangu kashika simu asbh kaamua kuvuka na chake Kioo kwishnaaa Winoo. Hioo Samsung a03 Sijui sh ngapi sio kwa kutishiwa na watu hivi oohh
Wale mnaojua fundi nzuri WA Samsung kawe. Ama mwenge ama kariakoo Naomba tuambiane Mwanangu kashika simu asbh kaamua kuvuka na chake Kioo kwishnaaa Winoo. Hioo Samsung a03 Sijui sh ngapi sio kwa kutishiwa na watu hivi oohh
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 24,262 Reaction score 58,728 Dec 31, 2024 #2 andaa laki moja njoo pm nikupe no za simu yupo kariakoo jamaaa
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jan 1, 2025 #3 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw
R Rasocrypto Member Joined Apr 13, 2023 Posts 20 Reaction score 65 Jan 1, 2025 #4 Mcheki huyu jamaa anaitwa SAM yuko Mlimani City..+255769038065 Kashanitengenezea simu 2 so far z kubadili kioo samsung n iphone..UHAKIKA
Mcheki huyu jamaa anaitwa SAM yuko Mlimani City..+255769038065 Kashanitengenezea simu 2 so far z kubadili kioo samsung n iphone..UHAKIKA