Mwl Evarist Mchele
Member
- Jul 21, 2020
- 57
- 60
Nahitaji kurudia rangi ya gari, au kubadilisha kabisa naomba kuelekezwa mafundi wazuri bei pamoja na ushauri wowote. ni ki- ist
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peleka Nduvini auto garage, Gajjar auto works forau kwa Wachina.Nahitaji kurudia rangi ya gari, au kubadilisha kabisa naomba kuelekezwa mafundi wazuri bei pamoja na ushauri wowote. ni ki- ist
NB: fundi wa vichochoroni huea sifanyi nao kazi yoyote.
Asiyetaka vichochoroni huwa hana tatizo na bei, peleka gari garage utapewa invoice.naona umechukizwa sana na mimi kutohitaji mafundi wa vichochoroni, lakini elewa kila mtu na uendeshaji wake wa mambo, je kama nahitaji invoice kwa sababu zinalipwa na wadhamini, na je kama nilisha wahi kufanyiwa kitendo kisicho na utu kwemye gari yangu uko vichochoroni, ! naelewa nachosema na ndo maana nasema ki-ist hakiendi kupakwa rangi vichochoroni!
vp kuhusu bei hujanipa mwangaza, ??
asante.Asiyetaka vichichoroni huwa hana tatizo na bei, peleka gari garage utapewa invoice.
Yani hapo unamiliki hiyo baby walker ndio mbwembwe zote hizi? Ingekuwa ni tako la nyani au Prado nadhani ungepeleka Toyota Tanzania kabisa.
Asiyetaka vichochoroni huwa hana tatizo na bei, peleka gari garage utapewa invoice.
Yani hapo unamiliki hiyo baby walker ndio mbwembwe zote hizi? Ingekuwa ni tako la nyani au Prado nadhani ungepeleka Toyota Tanzania kabisa.
Peleka kwa Wachina, waoneshe kadi ya gari, kwenye particular rangi ya gari imeandikwa.Mkuu Dr Matola PhD salam kwako,
Mkuu kama hutojali unaweza nipa mawasiliano ya yeyote wa wakala wanaotengeneza rangi kulingana na color code ya gari yako? Nataka kupiga upya rangi asili ya gari baada kuambiwa na Traffic rangi niliyoipiga sio rangi halisi ya gari.
Ahsante
Mkuu Dr Matola PhD Nashukuru kwa majibu yako.Peleka kwa Wachina, waoneshe kadi ya gari, kwenye particular rangi ya gari imeandikwa.
Next time ukipeleka kupiga rangi mtaani Fundi anayejuwa kazi yake anafunguwa kifuniko cha fuel tank anakwenda nacho sample kwenye kuchanganya rangi.
Thomson na Thompson ni majina mawili tofauti.
Upo mkoa gani? Kama ni Dar mbona garage za Wachina za kumwaga tu.Mkuu Dr Matola PhD Nashukuru kwa majibu yako.
Hao wachina ndio natafuta Contacts zao au wanavyojulika (Jina) nilitafute Contacts zao kupitia mtandao.
Ahsante
Jaribu Google Chinese garage at your regional.Samahani Mkuu sipo Dar.
Ahsante