Fundi ujenzi natafuta kazi

Fundi ujenzi natafuta kazi

Joined
Sep 17, 2023
Posts
14
Reaction score
32
Hello
Naitwa Nyesigamkama Ni fundi ujenzi wa nyumba Fani ya Bricklaying and Concrete practice.

Najenga kuanzia nyumba ya kawaida mpaka Ghorofa. Niko Murongo Kyerwa Kagera nafanya kazi mikoa yote.

Namba yangu Ni 0614899688
 
Back
Top Bottom