Fundi wa hizi mambo yupo?

Joweba

Senior Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
166
Reaction score
87
habarini wandugu, nina tv yangu ya mchogo ilikuwa inaonesha rangi vizuri ila saivi inaonesha rangi ya blue iliyochanganyikana na nyeusi kiujumla inaboa kinoma noma, sasa juzi niliileta kwa fundi nkamwahidi ntaichukua baada ya siku mbili sasa leo nimefika hapa kwake naona bado anahangaika nayo sijui ndo haelewi pakugusa ama! so please wandugu kama kuna mwenye mautundu na hizi mambo anambie pakugusa ili nimshauri huyu fundi.
 
Pole aisee,
Kwa ushauri tu achana na hyo TV ata kiafya sio nzuri kabisa,

Mwambie huyo fundi akupe ela kidogo umuachie atachukua spare humo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…