Kwanini?mkuu hakuna atakae kuja kiwepesiwepesi namna hiyo.
Natafuta kujifunza ufundi wa magari mkuu sasa kwenye garage si wanakarabati hayo magari yenye hitilafu/yaliyoharibika nikipata huko itanifaa na nipo Dar es salaam makazi. Au sijaeleweka bado?Mkuu tangazo lako halina ujazo kumshawishi mtu Kucomment. Yaani halina uzito kumshawishi mtu.
Ufundi umeme wa magari unahusika na nini, nifafanulie kidogo ili nielewe mkuumkuu ungekuwa unataka ufundi umeme wa magari ningekukaribisha kwenye mishemishe zangu na harakati ili tushare kile nikifahamucho mm.
Dogo unatakiwa kwenda hata veta upate basic foundation , technology ya miaka hii ni tofauti na miaka ya 70Ufundi umeme wa magari unahusika na nini, nifafanulie kidogo ili nielewe mkuu
Veta ningeweza ningekwenda sasa niko na uhaba wa muda.Dogo unatakiwa kwenda hata veta upate basic foundation , technology ya miaka hii ni tofauti na miaka ya 70
VETA hamna kitu pale .ni hovyoo kabisaa atafundishwa mambo ambayo yalishafutwa kwenye dunia hiiDogo unatakiwa kwenda hata veta upate basic foundation , technology ya miaka hii ni tofauti na miaka ya 70
Kumbe VETA nako sikuhizi kuna blah blah ndugu! ?VETA hamna kitu pale .ni hovyoo kabisaa atafundishwa mambo ambayo yalishafutwa kwenye dunia hii
Na kwenye kufanya kwa vitendo inakuaje sasa.Mkuu tumia google kujifunza...
hapoo freashMkuu tumia google kujifunza...