Winga Teleza na mmwaga maji hatari kutokea Taifa la Congo kanaswa kwenye Nyavu za Wananchi na kila kitu kinaenda vizuri na kesho kuna uwezekano mkubwa akatangazwa na kuungana na Jeshi la Kijani.
Anaitwa Max Nsengeli ni mchezaji wa Pembeni ambaye Mapishi yake hayajawahi kuwa bokoboko.