Fundi wa umeme wa gari - Dodoma

Nyati

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2009
Posts
2,521
Reaction score
1,906
Wakuu habari za kazi,

Jamaa yangu gari linamsubua baada ya kusafisha / kuosha Injini ya gari. Tatizo ni indicators zinasumbua, mara ziwake mara zisiwake.

Naomba kama kuna fundi mweledi aliyeko Dodoma nisaidiwe namba yake
 
Hivi hua mnaosha Engine ya gari ili iweje mkuu?

Usafi mwingine ndio unaletaga majanga kama hayo.
 
Toka Niunguze Alternator yangu kwa sababu ya kuosha engine, nimeacha kabisa hii tabia
Hivi hua mnaosha Engine ya gari ili iweje mkuu?

Usafi mwingine ndio unaletaga majanga kama hayo.
 
Wakuu habari za kazi,

Jamaa yangu gari linamsubua baada ya kusafisha / kuosha Injini ya gari. Tatizo ni indicators zinasumbua, mara ziwake mara zisiwake.

Naomba kama kuna fundi mweledi aliyeko Dodoma nisaidiwe namba yake
Gody +255 653 670 667
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…