Fungasi za Juu ya unyayo wa Mguu

UPOPO

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
3,563
Reaction score
5,687
Jamani nimekuwa naota Fangasi juu ya unyayo,vinaota vipele vidogo vinakuwa kama na maji ndani na baada
ya muda zinapasuka na kusambaa kwenye mguu.Nimejaribu kila aina ya dawa ya kupaka hata kuvaa viatu vya wazi
lakini bado vinakuja na kupona.Nimeenda kwa specialist mbalimbali wa magonjwa ya ngozi bado sipati nafuu.Please naomba ushauri wa kitaaluma
 
pole dada! Nystatin ni dawa kioko ya fungus. akikisha unvaa sandals sana kwani fungus huzaliana sana kama miguu hutokwa jasho kwa wingi!!!
 
Asante kwa ushauri,nitaitafuta hiyo dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…