Fungeni bila kula kabisa huku mkikesha kwa maombi maana saa yaja

Fungeni bila kula kabisa huku mkikesha kwa maombi maana saa yaja

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Halafu ghafla unawakuta wao wamefutuka utadhani wao hawapaswi kufunga[emoji848]



IMG-20191001-WA0001.jpeg
 
Katika #teamVitambi wataalamu wanavitambua hivo vitambi kama "VITAMBI MCHUCHUMIO", hivi vimekaa kama muundo wa herufi "D". Eti kinatokana sana sana na kula michemsho na bia za ofa.[emoji2955][emoji848]

NB Kuna baadhi ya wasanii muda si mrefu watavipata (Steve Nyerere na Likwid miongoni mwao).

Rejea hapa kwa maelezo zaidi.
 
Katika #teamVitambi wataalamu wanavitambua hivo vitambi kama "VITAMBI MCHUCHUMIO", hivi vimekaa kama muundo wa herufi "D". Eti kinatokana sana sana na kula michemsho na bia za ofa.[emoji2955][emoji848]

NB Kuna baadhi ya wasanii muda si mrefu watavipata (Steve Nyerere na Likwid miongoni mwao).

Rejea hapa kwa maelezo zaidi.
Htari sana, vitambi vyenye herufi D kuwatoka wachungaji.

Unforgetable
 
Back
Top Bottom