Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kwa leo nitaongelea viatu 'used'/mtumba
Kuna siku nilitembelea duka moja la viatu vya mtumba mkoani Arusha; hivyo viatu vilikuwa vinatoka Italy, kuuliza bei, naambiwa sh. 185,000/=.
Hapo nikawa nimepata wazo la kiujasiriamali kichwani:-
Utaanzaje sasa:-
Kuna siku nilitembelea duka moja la viatu vya mtumba mkoani Arusha; hivyo viatu vilikuwa vinatoka Italy, kuuliza bei, naambiwa sh. 185,000/=.
Hapo nikawa nimepata wazo la kiujasiriamali kichwani:-
Utaanzaje sasa:-
- Nunua mashine ya kushonea viatu
- Tafuta jengo/fremu/ofisi
- Tafuta fundi wa kushona viatu; unaweza kumtoa huko kijijini na kumleta mjini
- Nenda kwenye viatu vya mtumba ukanunue kwa jumla
- Vilete kwenye karakana yako, na uviongezee thamani
- Kama vimechanika, vishone
- Vioshe
- Ving'arishe
- Badilisha au boresha soli iliyopo
- Kinyooshe vizuri
- Peleka sokoni
- Kwa makadirio; kwa bei ya jumla utakuwa umenunua kwa 15,000, baada ya kukiongezea thamani, uza 45,000 au zaidi.
Aya ingia kazini, acha kulalamika