Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Ni mwezi mmoja tu umebakia Nyumbu waende huko Ndutu na Serengeti kusini ilA hadi sasa hakuna tarehe tajwa ya kuweka kituo cha kupima corona maeneo hayo.
Hivi makampuni yatauzaje wageni kama hawana hakika kuwepo kwa kituo kwa muda stahiki? Au ni mpaka private sector ambayo ipo taabani kwa korona ijichange iweke kituo?
Yaani hatupo serious; sijui tumelaaniwa na nani.
Hivi makampuni yatauzaje wageni kama hawana hakika kuwepo kwa kituo kwa muda stahiki? Au ni mpaka private sector ambayo ipo taabani kwa korona ijichange iweke kituo?
Yaani hatupo serious; sijui tumelaaniwa na nani.