Funguka Rais na Mwenyekiti wangu, TAKUKURU wachane makabrasha ya 'kashfa ya rushwa' ya Lugola na wenzake?

Funguka Rais na Mwenyekiti wangu, TAKUKURU wachane makabrasha ya 'kashfa ya rushwa' ya Lugola na wenzake?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ilianza na inaendelea na uchunguzi wa sakata la rushwa kubwa ya mabilioni dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola na makamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Hii ilifuatia agizo lako kwa vyombo vya ulinzi na usalama kuchunguza mkataba tata wa vifaa vya jeshi hilo uliosainiwa. TAKUKURU wakajipanga na kuanza kazi. Kazi inaendelea.

Ni hivi juzi tu 'umetoa msamaha' kwa makamanda wa Jeshi hilo la Zimamoto na Uokoaji wakiongozwa na aliyekuwa Mkuu wao Kamishna Thobias Andengenye. Hadi sasa, Rais na Mwenyekiti wangu haukusema kama Lugola naye amesamehewa. Mkuu wetu wa Serikali na chama, tuweke wazi kuhusu mambo haya. Je, msamaha ulioutoa unahusu hadi uchunguzi uliokuwa ukifanywa na TAKUKURU dhidi ya Makamanda hao? Na je, TAKUKURU wachane na kutokomeza makabrasha ya uchunguzi wao huo?

Rais na Mwenyekiti wangu wa CCM, kumbuka kuwa sera ya kupambana na ufisadi na wizi ndiyo iliyokubeba mwaka 2015. Mwaka huu vipi hadi 'uigaragaze' katika dakika hizi za lala salama?

CCM tunataka tarehe ya kuchukua fomu ya Urais ili wenye uwezo wajitokeze, utaratibu hauzidi Katiba yetu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dodoma
 
Unajua mwenye uwezo wa kumsamehe dhambi mwanadamu?. Basi ukipapata bahati ya kusamehewa yote yamekwisha kweli kweli Kagi alimaanisha mazito kauli ile.
 
Rais ameshatoa msahama, hakuna sababu ya kushughulika na jambo ambalo limepata mamaha wa Rais.

takukuru waakifanya hivyo hiyo ni insubordination na sheria ya utumishi ya mwaka 2001 inasema ukimdharau tu kiongozi wako unastahili kufikuzwa kazi.
 
Rais ameshatoa msahama, hakuna sababu ya kushughulika na jambo ambalo limepata mamaha wa Rais.

takukuru waakifanya hivyo hiyo ni insubordination na sheria ya utumishi ya mwaka 2001 inasema ukimdharau tu kiongozi wako unastahili kufikuzwa kazi.
Sasa katiba imempa mamlaka DPP kuwa atakuwa huru kwenye kuendesha kesi zote, sasa hamuoni wanaingilia yale mamlaka ya kisheria ya DPP?.

Mimi sina ujuzi sana kwenye sheria lakini hiyo haiwezi kuwa ni insubordination kwa sababu hiyo insubordination inakwenda na lawful objects tu, sio kwa unlawful objects, huwezi kuingilia mamlaka ya DPP kinguvu nguvu tu DPP ni kazi take hiyo alitakiwa aendelee hadi mahakamani halafu aseme hana nia ya kuendelea na kesi.

Katiba imetoa mamlaka ya kusamehe 'kwenye hatia' na waliofungwa na rais kapewa mamlaka ya kupunguza adhabu/kubadili adhabu au kutoa msamaha kabisa kwa 'waliotiwa hatiani'.
 
Sasa katiba imempa mamlaka DPP kuwa atakuwa huru kwenye kuendesha kesi zote, sasa hamuoni wanaingilia yale mamlaka ya kisheria ya DPP? Mimi sina ujuzi sana kwenye sheria lakini hiyo haiwezi kuwa ni insubordination kwa sababu hiyo insubordination inakwenda na lawful objects tu, sio kwa unlawful objects, huwezi kuingilia mamlaka ya DPP kinguvu nguvu tu DPP ni kazi take hiyo alitakiwa aendelee hadi mahakamani halafu aseme hana nia ya kuendelea na kesi,
Katiba imetoa mamlaka ya kusamehe 'kwenye hatia' na waliofungwa na rais kapewa mamlaka ya kupunguza adhabu/kubadili adhabu au kutoa msamaha kabisa kwa 'waliotiwa hatiani'.

Uko sahihi....

Kilichofanywa na Rais Magufuli ni ishara ya "kufunika kombe mwanaharamu spite"

Anazo taarifa toka kwa haohao PCCB kuwa hawa wana kesi ya rushwa ya kujibu....

Kwa kuona kuwa kesi hiyo itaichafua serikali yake na yeye mwenyewe in personal, anaamua kuipotezea kwa mtindo huu....

Hii ndiyo inaitwa "kutumia vibaya madaraka". Rais anatumia vibaya madaraka yake kwa faida yake binafsi na kikundi chake kidogo kiteule...

Hii ni hatari kabisa...
 
Ukijibiwa tuaomba utushirikishe Mkuu,pia tunapenda kufahamu maendeleo na ufanisi wa mahakama ya ufisadi iliyohubiriwa sana 2015 hopefully kwa ajili ya Mh.Lowassa,tupewe update zake.

Hawa jamaa siyo consisted na wapo na msongo(Stress) za kushindwa vibaya kila walianzishalo.
 
Hivi unadhani kuna kesi yoyote inayoendelea dhidi ya Lugola, Magufuli alisema aliwasamehe wale maafisa wa Zimamoto halafu amuache kumsamehe Kangi muimbaji wake?.
 
Hivi unadhani kuna kesi yoyote inayoendelea dhidi ya Lugola, Magufuli alisema aliwasamehe wale maafisa wa Zimamoto halafu amuache kumsamehe Kangi muimbaji wake?
 
Uko sahihi....

Kilichofanywa na Rais Magufuli ni ishara ya "kufunika kombe mwanaharamu spite"

Anazo taarifa toka kwa haohao PCCB kuwa hawa wana kesi ya rushwa ya kujibu....

Kwa kuona kuwa kesi hiyo itaichafua serikali yake na yeye mwenyewe in personal, anaamua kuipotezea kwa mtindo huu....

Hii ndiyo inaitwa "kutumia vibaya madaraka". Rais anatumia vibaya madaraka yake kwa faida yake binafsi na kikundi chake kidogo kiteule...

Hii ni hatari kabisa...

Hapa ndipo tutakapo ona umuhimu wa kuurudisha ule mchakato wa Katiba Mpya. Tukichelewa tu, huyu Mzee atajigeuza na kuwa Rais Mfalme na Mtawala wa milele wa nchi yetu.

Siamini kama ataondoka kwa hiyari yake mwenyewe ifikapo 2025! Tayari madaraka yameshamlevya, na anayafurahia. Kwa sasa wapambe wake wako busy kumuandalia mazingira ya kuibaka hiyo Katiba yao ya Chama ya mwaka 1977, ili waturudishe enzi za ule Ujamaa wao feki ulioshindwa miaka hiyo.

Inahuzunisha sana.
 
Unajua mwenye uwezo wa kumsamehe dhambi mwanadamu? Basi ukipapata bahati ya kusamehewa yote yamekwisha kweli kweli Kagi alimaanisha mazito kauli ile.

Acha kupotosha mada. Wewe hujawahi kumsamehe mtu yeyote tangu umezaliwa? Akili za kuku kujisahau.
 
Unaanzaje kuiba trillion moja bila boss kujua?
It was a crimal syndicate john, Kangi and Andengenye.

DPP kanyamazishwa, kashindwa peleka kesi mahakamani kwa shinikizo la Mkuu
 
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ilianza na inaendelea na uchunguzi wa sakata la rushwa kubwa ya mabilioni dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola na makamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Hii ilifuatia agizo lako kwa vyombo vya ulinzi na usalama kuchunguza mkataba tata wa vifaa vya jeshi hilo uliosainiwa. TAKUKURU wakajipanga na kuanza kazi. Kazi inaendelea.

Ni hivi juzi tu 'umetoa msamaha' kwa makamanda wa Jeshi hilo la Zimamoto na Uokoaji wakiongozwa na aliyekuwa Mkuu wao Kamishna Thobias Andengenye. Hadi sasa, Rais na Mwenyekiti wangu haukusema kama Lugola naye amesamehewa. Mkuu wetu wa Serikali na chama, tuweke wazi kuhusu mambo haya. Je, msamaha ulioutoa unahusu hadi uchunguzi uliokuwa ukifanywa na TAKUKURU dhidi ya Makamanda hao?

Na je, TAKUKURU wachane na kutokomeza makabrasha ya uchunguzi wao huo?

Rais na Mwenyekiti wangu wa CCM, kumbuka kuwa sera ya kupambana na ufisadi na wizi ndiyo iliyokubeba mwaka 2015. Mwaka huu vipi hadi 'uigaragaze' katika dakika hizi za lala salama?

CCM tunataka tarehe ya kuchukua fomu ya Urais ili wenye uwezo wajitokeze, utaratibu hauzidi Katiba yetu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dodoma
Mbona hueleweki unataka huku na huku! Suala la uchunguzi wa takukuru je una dondoo zozote namna Lugola alivyohusika? Kama alihusika ulikuwepo wakati anahojiwa? Una unao uthibitisho pasipo na shaka kama alihusika mpaka unataka faili lichanwe?.

Suala la Ccm kumwachia aliyepo madarakani apeperushe bendera hujui kama ni utamaduni wa Ccm zaidi ya miaka 36. Na wao sasa imeshakuwa kama taratibu zao, wewe unawashwa nini?
 
Halafu hao TAKUKURU wanajidai wako busy kuwaita wabunge 69 wa CDM kwa mahojiano, tena kwa suala ambalo lipo kisheria, wanasikiliza kelele za waliofika bei wanajidai kuanza uchunguzi.

Sijui hizo nguvu za kufanya hayo maigizo hao TAKUKURU wanazitoa wapi.
 
Back
Top Bottom