Funguka: Tangu uanze kutongoza/kutongozwa hapa JF, umefanikiwa mara ngapi?

bigmind

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2015
Posts
12,457
Reaction score
12,689
Binafsi mimi ni simba mwenda pole, kitoweo changu huwa napata bila jasho kabisa. Mara kadhaa nimetongoza na kuwa champion zaidi ya 78-84% nimefanikiwa. Na kati ya hizo ni kama 30% nilikuwa serious but huwa natongoza wanawake maarufu wa hapa jf cha kushangaza unapokutana nao siyo maarufu ni wakawaida sana.

Mara nyingi nimejikuta tunaishia hewana wachache sana wakiniona huwa suprized walitegemea jamaa moja fulani hunihuni hivi, kumbe kimbaombao fulani but with powerful mind.

Mwenzangu funguka na wewe..!
 
Mwenzio Siasa alikutana na nyonyo kama tikiti la morogoro...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



Jf kuna watu wana tabia mbaya sana
Nilishakutana na watatu lakini hawakunivutia sana,mmoja kati yao alinivutia ila alikuwa anaongea sana kuliko Mimi hadi kero lakini aliniiudhi kwa vile alikuwa anaogelea zaidi mahusiano yake had I kero..nb;wadada mnapokutana na MTU kwa Mara ya kwanza punguza kuongea na ujuaji wa kupitiliza
 

Alikuwa anakupa historia yake ya majamaa waliopita na hapo unakuta wote anawatoa kasoro
 
Mmmh...! Asije kuwa mama fulani...
 
Mi sijabahatika Mkuu wenye uzoefu tupe mrejesho kwanza
Mademu humu usiwe na papara maana wanajidai wajuaji but si kitu siye simba waenda pole tunapata vitoweo kiulaini kabisa.
 
Aisee wanaume wa jf mikono juu,,,hamna vifua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…