funguo ninazo Mimi hahaha

KAOROGOMA

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2015
Posts
511
Reaction score
773
katika hospital moja ya vichaa, Daktari aliamua kupima niwangapi wamepona, katika chumba walichofungiwa alichora alama ya mlango alafu akawaambia ebu tokeni nje wOte wakawa wanajigonga pale ulipochorwa mlango wakidhan ndo mlango wenyewe wanaanguka chini, lakini kichaa mmoja akabaki chini anacheka saaaaaana, Daktari akafarijika kuwa Wenda Huyo kapona kugundua kuwa huo SI mlango, akamuuliza Mbona unacheka??? kichaa akajibu nawashangaa wanajigonga mlangon wakati funguo ninazo Mimi Hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…