Fungus za sehemu za siri zinanitesa

Kuna mwamba humu aliwahi kusema septrine unavisaga saga, kisha vinakuwa unga kabisa, kisha unachangany na mafuta mgando kama vile vaselin.

Hii dawa nilimuelekeza mtu na akanipa mrejesho mzuri, sijawahi kumuuliza kama huo ugonjwa ulimrudia tena ama vipi?
 
inaitwaje kaka iyo dawa kaka dm 062904299 unisaidie kak nateseka mno
jina dawa siikumbuki iLa ujienda kkoo mskiti wa idrissa kkoo kule nimeweka picha kweny coment kaka idownload ukienda iulizie tu unapata mkuu m ilinsaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…