Funua bongo na falsafa za kimalenga.

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Umeelewaje msemo huu ?
''Masikini hajui namna ya kula na tajiri,masikini anapopewa samaki anaanza kula kichwani''
 
Matajiri wengi hawapemdi kula vichwa sasa wewe ukianza kula kichwa tajiri atakuachia nini..
Anza naye mkiani mkifika kwenye kichwa anakuachia kichwa chote nawewe ndio unapotajirika hapo.
 
Ukiona anakaa viti vifefu bar na wewe unaiga! Atakupiga chini!! Hata kama akikuita, daka soda na uambae!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…