Idd Ninga JF-Expert Member Joined Nov 18, 2012 Posts 5,497 Reaction score 4,775 Aug 8, 2019 #1 Umeelewaje msemo huu ? ''Masikini hajui namna ya kula na tajiri,masikini anapopewa samaki anaanza kula kichwani''
Umeelewaje msemo huu ? ''Masikini hajui namna ya kula na tajiri,masikini anapopewa samaki anaanza kula kichwani''
sheremaya JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 3,334 Reaction score 7,651 Aug 8, 2019 #2 Matajiri wengi hawapemdi kula vichwa sasa wewe ukianza kula kichwa tajiri atakuachia nini.. Anza naye mkiani mkifika kwenye kichwa anakuachia kichwa chote nawewe ndio unapotajirika hapo.
Matajiri wengi hawapemdi kula vichwa sasa wewe ukianza kula kichwa tajiri atakuachia nini.. Anza naye mkiani mkifika kwenye kichwa anakuachia kichwa chote nawewe ndio unapotajirika hapo.
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Aug 8, 2019 #3 Idd Ninga said: Umeelewaje msemo huu ? ''Masikini hajui namna ya kula na tajiri,masikini anapopewa samaki anaanza kula kichwani'' Click to expand... UKILA NA KIPOFU USIMSHIKE MKONO
Idd Ninga said: Umeelewaje msemo huu ? ''Masikini hajui namna ya kula na tajiri,masikini anapopewa samaki anaanza kula kichwani'' Click to expand... UKILA NA KIPOFU USIMSHIKE MKONO
Joseph lebai JF-Expert Member Joined Jul 19, 2017 Posts 8,452 Reaction score 8,670 Aug 8, 2019 #4 Ukiona anakaa viti vifefu bar na wewe unaiga! Atakupiga chini!! Hata kama akikuita, daka soda na uambae!
Ukiona anakaa viti vifefu bar na wewe unaiga! Atakupiga chini!! Hata kama akikuita, daka soda na uambae!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Aug 8, 2019 #5 Ngoja tuone... Cc: mahondaw