tatizo langu kubwa ni kuwa kama atakubali kufanya mabadiliko wakati huu atakuwa ameonesha udhaifu mwingine kama kiongozi, ule wa kutabirika!
Wana jf nimepata fununu kutoka kwenye vyombo vyangu vya habari nimepata tetesi kuwa huenda mabadiliko ya cabinet yakawa jumatano ya wiki ianzayo kesho,kisha nikaendelea kudadisi nikaja kupata tetesi kuwa mabadiliko hayo yatawakumba wengi ikiwemo mawaziri waandamizi,na katika kutafuta habari hapa na pale nikaja kupata TETESI akuwa huenda hawa wafuatao wanaweza kupumzika kwa sasa,(kumbuka ni tetesi)