luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Katika hali ya ajabu kabisa katika karne hii ya 21 nchini Kenya kijiji kimoja kimevamiwa na funza kufuatia kuvamiwa huko wanafunzi zaidi ya 50 wameshindwa kuhudhuria shule. Hii ni ajabu sanaaa humu JF kuna wa 254 wanajitapa tapa eti Kenya ni developed country for this issue you are disqualified