luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
yaani ni mapacha au kusema kama ilivyo wazungu kupendelea ku settle Kenya bac nao Funza ni ma settler pale KenyaNi kawaida.
Funza na Kenya ni kawaida.
Humu JF wa kenya wanajifanya wao ni Middle income country au wenyewe wanapenda sanaaaa kujisemea ni developed country .... Lkn funzaaaa zimewatekaaa balaaaaa na nasikia hata lodges za kenya nyinhi zina kunguniiii yaani nasikia hata ktk baadhi ya mahotel makubwa yaan kunguni are thereHii ina maana watu huko Kenya hawavai viatu
Chawa anakaa kwenye nywele za kati kati kichwani ndio makazi yake, ana umbo la kunguni ila yeye ni mdogo mweupe.Funza ndio chawa??