Funzo Kutoka CAG Report ya ATCL: Profesa Mruma Awasilshe Upya Ripoti Ya Makinikia

Lakini Palamagamba Kabudi aliyeongoza majadiliano si yuko; na Luoga naye kapata na kuwa gavana, hawa wanaweza kuwa chanzo cha taarifa za kuhakikiwa!
Palamagamba Kabudi ni intellectual hermaphrodite. Siyo mtu wa kumuamini
 
Tume zote za JPM zilikwa hogwash, hata ile ripoti ya Salehe Pamba kuhusu Environmental impact assessment (EIA) ya Steiglers Gorge ilikuwa uongo mtupu.
Ile EIA ya Stiglers Gorge ni FAKE kabisa. Lakini tulikuwa na Rais MWENDAWAZIMU, akiamua anataka litekelezwe bila kujali madhara.

Wataalamu wanasema 36% ya water flow haipo kwa sasa compared to 1980s feasibility study ya RUBADA ilipofanyika.

Katika miradi ambayo naamini Rais Samia Suluhu hataendelea nayo ni huo wa umeme wa STIGLERs al maarufu kama JNHEP Project
 
Palamagamba Kabudi ni intellectual hermaphrodite. Siyo mtu wa kumuamini
It is unfortunate that we had such people as leaders of our government!!! All the same they have to be accountable.
 
Ndio ile professorial rubbish?
 
Well put, this is a purely Great Thinker argument
 
Huu ni mwanzo tu, sie wanzanzibari twasema mengi yeja.
 
Kwa uhakika wa 100% hakuna chochote tulichokuwa tunaibiwa kupitia makinikia. Ujinga wa Watanzania wengi unawafanya watawala kuwalisha uwongo mwingi kwa kujua kuwa watanzania watameza taarifa wanazopewa kama zilivyo.

Taarifa zile za kijinga za akina Mruma, leo kwa aibu zimetupwa kwenye mashimo ya takataka kiasi cha kushindwa kuamini kuwa kazi ile eti ilifanywa na maprofesa! Report ile hata mwanafunzi wa Geology wa mwaka wa 2 angeweza kujua bila shaka kuwa ulikuwa ujinga mtupu. Maana viliandikwa vitu ambavyo havijawahi kuwepo tangu Ulimwengu uwepo.
 
"Tanzania Tsh 190 Bilion sawa na Tsh 450 Trilion"
 
Mkuu Hamatan ongeza sauti
 
Wadau turudi hapa kwenye makala yangu ya March 2021
 
Wadau turudi hapa kwenye makala yangu ya March 2021
Huyu hapa Prof Mruma akiwa cooked na mawakili wa Indiana Resources
Your browser is not able to display this video.
 
hivi huyu jamaa alisoma chuo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…