SoC01 Funzo kwa Jamii: Jinsi nilivyoacha uraibu wa kamari

SoC01 Funzo kwa Jamii: Jinsi nilivyoacha uraibu wa kamari

Stories of Change - 2021 Competition

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
2,395
Reaction score
2,391
Kwanza kabisa kuacha mazoea fulani katika maisha yako si rahisi kama unavyotamka,unaweza kuacha leo lakini ikachukua muda kuacha kabisa.

Leo karibu marika yote na jinsia zote katika jamii ni waraibu wa kamari. Uraibu huu unatokana na matangazo ya kuvutia na zawadi kubwa kubwa pia ile imani kuwa "ipo siku moja tu" yani atafanikiwa kupata pesa nyingi kwa dau kidogo. Kivutio cha michezo hii ni matangazo ya kibiashara pamoja na zawadi zinazotangazwa mitandaoni na kokote. Matangazo hayo yanashawishi sana na wewe kuanza kutafuta pesa kwa njia hiyo.

Michezo ya kamari ipo mingi sana, kubet,kucheza karata za pesa,pool table,dubuli(bonanza) keno, mbwa .n.k lakini mimi nilikuwa mraibu wa kubet hasa mpira wa miguu ndio nitakaozungumzia sana japo hata waraibu wa michezo mingine mnaweza kufuata hatua zangu.

Katika kubet balaa linaanza unapokula au unapoona mtu kala basi unaamini na wewe una haki ya kula au ipo siku utakula na wewe. Siku ukila hata kama ni pesa ndogo tu unajiona wewe ndio mjuaji wa kubet,wewe ndio bosi siku hiyo,unaweza hata kupanda boda umbali wa m200 tu,au hata kumtukana mtu,pesa ya kubet ina jeuri sana.

Nilianza kubet mwaka 2013 kipindi ambacho alikuwa ameshika soko ni muhindi. Baadae ikaja meridian.

IMG_20210730_162914.jpg

Haraka nikahamia meridian sababu kuu nilikuwa na uwezo wa kucheza online na maduka yake yalikuwa ya ndani sio sehemu za wazi kama kwa muhindi.
IMG_20210731_121602.jpg

Kitendo cha kucheza online kilifanya nitumie muda mwingi sana kwenye simu sababu kuna kuangalia fixture(ratiba ya michezo) kuangalia ratiba ya game za leo na kuweka dau.
IMG_20210730_162839.jpg

URAIBU ULOVYOANZA
Kwenye simu unatakiwa kuwa na Apps au kuwa online kwenye website zaidi ya tatu kwa wakati mmoja.
Kwenye kamari kwenyewe, kwenye app ya kuchambua huo mchezo pamoja na web ya kufuatilia huo mchezo kama utacheza "In play" na kwenye makundi yenu.
Kutokana na muda huo hutopata muda wa kuweka sinu chini hata kama unangea na mtu.

IMG_20210730_162954.jpg

MADHARA YAKE

Nilicheza kawaida na online pia, online michezo aina zote live na kawaida. Kamari ilifanya nione watu wengine kama mzigo hawana umuhimu tena,mimi na simu tu,nikitoka kazini najifungia ndani mpaka saa 3 usiku natoka naenda kula huku nikiwa na simu.
Hata ukikutana na rafiki yako huwezi kuongea nae muda mrefu sababu anakuchelewesha kuweka mzigo au kufatilia game live. kutokana na umahiri wangu wa kucheza live nilipewa jina la "mzee wa in play" uraibu ukikolea mikopo isiyo ya lazima pia ikuhusu

Tulifungua group la watu wa5 wasap kwa ajili ya kupeana dili(game zenye hela) nnilikuwa silali.
Mchana nipo kazini nabet,jioni nyumbani nabet usiku online (saa 8 Usiku mpaka saa 11 asubuhi bara za Amerika kusini kuna mechi zinaendelea)hakuna kulala labda uegeshe tu.

Kama una mke mnaweza kugombana au kuleta mgogoro kama hajui wewe unabet(sababu ya muda wako kwake), hata mapenzi kwenye nyumba yako unaweza kushindwa kufanya kwa ufanisi sababu ya akili kuwa kwenye kamari tu. Yaani huna muda na mke au familia kwa ujumla,ni wewe na kamari tu.
Madhara ya kiafya yatokanayo na michezo ya kubashiri
( SOMA HAPO ☝️ muhimu sana)
Japo nilikuwa napata pesa na kuliwa pia lakini kamari ilinitenganisha sana na watu,ilifika hatua ukiwa na kiasi chochote cha pesa unawaza kubet tu,ukilala usiku unawaza na kuota mikeka tu. Ukiwa kazini unawaza kupata muda mwingi kubet,unaona kama kazi inakubana.

Mwaka 2016 nilipiga sana hela kwenye Euro2016 mpaka tukaanza kukopeshana mitaji ya kubetia.
Jinsi uraibu wa kamari ulivyomaliza maisha ya binti huyu - BBC News Swahili

2017 SAFARI YA KUACHA KUBET YAANZA RASMI
Nilianza kujifunza biblia baada ya kuda nikagundua madhara ya kamari,nikapigia taarifa nyingi na magazeti madhara ambayo waraibu wa kamari walipata nikajichunguza kweli nilivyokuwa naishi ni tofauti kabisa. Nilikua tayari kukopa pesa m-pawa ili tu nibet,huwezi kuwa na akiba kama huna pesa ya kubetia. Ukipata pesa lazma 40% irudi kubet,40% kujipongeza na 20% akiba.


HATUA NILIZOCHUKUA
1. Nilijichunguza mwenyewe jinsi ninavyoishi na watu
2. . Nikaangalia grafu yangu ya pesa
3. Nikaangalia muda wangu kwa siku nzima
Nikaona vyote hapo haviendi sawa kutokana na kamari
Nikaacha rasmi lakini nilitumia zaidi ya miezi 10 kutojihusisha kabisa na kamari.

KAMA UMEATHIRIKA FANYA HIVI:
  • Usiangalie ratiba ya mipira yeyote kwa muda kama wa mwezi hivi.
  • Angalia mambo uliyofanya baada kucheza kamari.
  • Futa apps zote za kuangalia matokeo ya mpira(livescore,flashscore n.k)
  • Usiangalie fixture popote, online au ubaoni
  • Toka kwenye makundi yote ya wafuasi wa kamari
Muda wako wa ziada tumia hata kusoma vitabu au kuchunguza jambo lolote online,kupiga soga na marafiki au hata kuangalia taarifa au movies tu
Usisikilize shuhuda za wanaokula na kukutambia.
https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/g201503/biblia-inasema-kucheza-kamari-ni-dhambi/

Pia unaweza kumwomba Mungu wako akusaidie kushinda vikwazo vyovyote mbele yako pia. Nimeandika kwa lengo la kusaidia jamii kwa ujumla sababu kuna wengine wanatamani kuacha lakini hawajui sababu au jinsi ya kuacha.
Karibu kwa usomaji.
 
Upvote 14
Kila. Nikitaka kuacha inakuja game unasema hii hapa ndio ya pesa,Aah wapi wanakwara yote.
Last time nilibet game mbili
CAF quarter final sec leg
Mamelod pamoja na simba nikaweka laki asee nilipigwa tena
Pole sana hata mm nilikuwa hivyo,lakini kama nilivyosema huwezi kuacha kwa siku moja, itachukua muda lakini usiangalie ratiba kabisa ya mechi za siku.
 
mi niliachaga kubet kama mwezi sasa jamaa yangu akanitumia mkeka wa buku ameshinda laki 7 na 90.ebaanaee ngoja niishie hapa najua wakamaria mnajua ile stuation unayikuwa nayo rafiki yako akiwin mkeka
Asee pole,nimelieleza vizuri kwenye makala,kamwe usiangalie wanaokula sababu watakushawishi urudue hiyo kazi
 
Kwanza kabisa kuacha mazoea fulani katika maisha yako si rahisi kama unavyotamka,unaweza kuacha leo lakini ikachukua muda kuacha kabisa.

Leo karibu marika yote na jinsia zote katika jamii ni waraibu wa kamari. Uraibu huu unatokana na matangazo ya kuvutia na zawadi kubwa kubwa pia ile imani kuwa "ipo siku moja tu" yani atafanikiwa kupata pesa nyingi kwa dau kidogo. Kivutio cha michezo hii ni matangazo ya kibiashara pamoja na zawadi zinazotangazwa mitandaoni na kokote. Matangazo hayo yanashawishi sana na wewe kuanza kutafuta pesa kwa njia hiyo.

Michezo ya kamari ipo mingi sana, kubet,kucheza karata za pesa,pool table,dubuli(bonanza) keno, mbwa .n.k lakini mimi nilikuwa mraibu wa kubet hasa mpira wa miguu ndio nitakaozungumzia sana japo hata waraibu wa michezo mingine mnaweza kufuata hatua zangu.

Katika kubet balaa linaanza unapokula au unapoona mtu kala basi unaamini na wewe una haki ya kula au ipo siku utakula na wewe. Siku ukila hata kama ni pesa ndogo tu unajiona wewe ndio mjuaji wa kubet,wewe ndio bosi siku hiyo,unaweza hata kupanda boda umbali wa m200 tu,au hata kumtukana mtu,pesa ya kubet ina jeuri sana.

Nilianza kubet mwaka 2013 kipindi ambacho alikuwa ameshika soko ni muhindi. Baadae ikaja meridian.


Haraka nikahamia meridian sababu kuu nilikuwa na uwezo wa kucheza online na maduka yake yalikuwa ya ndani sio sehemu za wazi kama kwa muhindi.

Kitendo cha kucheza online kilifanya nitumie muda mwingi sana kwenye simu sababu kuna kuangalia fixture(ratiba ya michezo) kuangalia ratiba ya game za leo na kuweka dau.

URAIBU ULOVYOANZA
Kwenye simu unatakiwa kuwa na Apps au kuwa online kwenye website zaidi ya tatu kwa wakati mmoja.
Kwenye kamari kwenyewe, kwenye app ya kuchambua huo mchezo pamoja na web ya kufuatilia huo mchezo kama utacheza "In play" na kwenye makundi yenu.
Kutokana na muda huo hutopata muda wa kuweka sinu chini hata kama unangea na mtu.


MADHARA YAKE

Nilicheza kawaida na online pia, online michezo aina zote live na kawaida. Kamari ilifanya nione watu wengine kama mzigo hawana umuhimu tena,mimi na simu tu,nikitoka kazini najifungia ndani mpaka saa 3 usiku natoka naenda kula huku nikiwa na simu.
Hata ukikutana na rafiki yako huwezi kuongea nae muda mrefu sababu anakuchelewesha kuweka mzigo au kufatilia game live. kutokana na umahiri wangu wa kucheza live nilipewa jina la "mzee wa in play" uraibu ukikolea mikopo isiyo ya lazima pia ikuhusu

Tulifungua group la watu wa5 wasap kwa ajili ya kupeana dili(game zenye hela) nnilikuwa silali.
Mchana nipo kazini nabet,jioni nyumbani nabet usiku online (saa 8 Usiku mpaka saa 11 asubuhi bara za Amerika kusini kuna mechi zinaendelea)hakuna kulala labda uegeshe tu.

Kama una mke mnaweza kugombana au kuleta mgogoro kama hajui wewe unabet(sababu ya muda wako kwake), hata mapenzi kwenye nyumba yako unaweza kushindwa kufanya kwa ufanisi sababu ya akili kuwa kwenye kamari tu. Yaani huna muda na mke au familia kwa ujumla,ni wewe na kamari tu.
Madhara ya kiafya yatokanayo na michezo ya kubashiri
( SOMA HAPO [emoji3516] muhimu sana)
Japo nilikuwa napata pesa na kuliwa pia lakini kamari ilinitenganisha sana na watu,ilifika hatua ukiwa na kiasi chochote cha pesa unawaza kubet tu,ukilala usiku unawaza na kuota mikeka tu. Ukiwa kazini unawaza kupata muda mwingi kubet,unaona kama kazi inakubana.

Mwaka 2016 nilipiga sana hela kwenye Euro2016 mpaka tukaanza kukopeshana mitaji ya kubetia.
Jinsi uraibu wa kamari ulivyomaliza maisha ya binti huyu - BBC News Swahili

2017 SAFARI YA KUACHA KUBET YAANZA RASMI
Nilianza kujifunza biblia baada ya kuda nikagundua madhara ya kamari,nikapigia taarifa nyingi na magazeti madhara ambayo waraibu wa kamari walipata nikajichunguza kweli nilivyokuwa naishi ni tofauti kabisa. Nilikua tayari kukopa pesa m-pawa ili tu nibet,huwezi kuwa na akiba kama huna pesa ya kubetia. Ukipata pesa lazma 40% irudi kubet,40% kujipongeza na 20% akiba.


HATUA NILIZOCHUKUA
1. Nilijichunguza mwenyewe jinsi ninavyoishi na watu
2. . Nikaangalia grafu yangu ya pesa
3. Nikaangalia muda wangu kwa siku nzima
Nikaona vyote hapo haviendi sawa kutokana na kamari
Nikaacha rasmi lakini nilitumia zaidi ya miezi 10 kutojihusisha kabisa na kamari.

KAMA UMEATHIRIKA FANYA HIVI:
  • Usiangalie ratiba ya mipira yeyote kwa muda kama wa mwezi hivi.
  • Angalia mambo uliyofanya baada kucheza kamari.
  • Futa apps zote za kuangalia matokeo ya mpira(livescore,flashscore n.k)
  • Usiangalie fixture popote, online au ubaoni
  • Toka kwenye makundi yote ya wafuasi wa kamari
Muda wako wa ziada tumia hata kusoma vitabu au kuchunguza jambo lolote online,kupiga soga na marafiki au hata kuangalia taarifa au movies tu
Usisikilize shuhuda za wanaokula na kukutambia.
https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/g201503/biblia-inasema-kucheza-kamari-ni-dhambi/

Pia unaweza kumwomba Mungu wako akusaidie kushinda vikwazo vyovyote mbele yako pia. Nimeandika kwa lengo la kusaidia jamii kwa ujumla sababu kuna wengine wanatamani kuacha lakini hawajui sababu au jinsi ya kuacha.
Karibu kwa usomaji.
Kama pesa kwenye kubet zipo kweli basi tuishie hapo hapo tuendelee kubet,swala ni kutia akili kuifaya betting kama sehemu ya ziada,ulipozidisha wewe kuwaza betting kwa muda wote si wote watawaza hivyo tu kama ulivyokua

Kuna mada ya mtu humu aliye pata Million 40 kwenye kubet na sasa anataka kuendesha kilimo sijui biashara.

Acha watu watakapoona madhara wao wenyewe wataacha lakini kama wanapata pesa we acha kubet na wengine waendelee
 
mi niliachaga kubet kama mwezi sasa jamaa yangu akanitumia mkeka wa buku ameshinda laki 7 na 90.ebaanaee ngoja niishie hapa najua wakamaria mnajua ile stuation unayikuwa nayo rafiki yako akiwin mkeka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nikiila hii M 686,937,226 Ya sportpesa Ndio nitaacha kabisa kubeti.

.Nitajenga Nyumba nzuri ya kuishi
.Nitawajengea wazazi wangu nyumba kali ya kuishi
.Nitaboresha kila kitu cha nyumbani kwa wazazi
.Nitaoa
.Nitafanya upembuzi yakifu kujua ni biashara gani ya kufanya,itakayo nifaa na kuchangia kuongeza kipato, maana mtaji upo

.Nitanunua gari ya kutembelea.
.Bila kuwasahau wazazi gari ya kutembelea itahusika kwa kila mmoja


Eeeeh.. Mwenyezi Mungu nisaidie nitoboe hii jackpot ya Sportpesa.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nacheka huku naogopa.

Screenshot_20211118-173856_SportPesa.jpg
 
Tatizo hujui kubet Responsibly yaani kiuwajibikaji... Huna kiasi mpaka Betting inakufanya unakuwa na addiction

Well, thanks kwa bandiko zuri
 
Bet responsibly and stake only what you can afford to lose ✍️
 
Back
Top Bottom