Funzo la Hadithi ya Paka na Panya

Funzo la Hadithi ya Paka na Panya

Ryaro ryaro

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2021
Posts
380
Reaction score
1,170
Watawala na Watawaliwa:-"Inawezekana tatizo la panya kwa paka lingekwisha kama paka angefungiwa kengele shingoni: taabu ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo.

Na panya watakuwa wajinga sana wakidhani kuwa paka watajifunga au watafungana kengele shingoni" - Mwl. J. K. Nyerere
 
Back
Top Bottom