...alishawahi tokea mmoja yule tajiri wa madini kule mererani miaka ile askofu mollel alikuwa akitembea na mfuko wa maliboro umejaa pesa na kuzimwaga mitaani ila sikuhizi ndo hivo tena choka mbaya..Hivi bongo nani huwaga anagawa pesa?
According to a thread author Ivan didn't write a will. Or did I miss any line?Imekuwa vizuri aliandika mali amewaachia Zari na watoto. Na Zari kuendeleza yote yake, kuanzia biashara walizokuwa nazo pamoja za colleges n.k.
Even if he didn't write a will,.it means hajaacha wosia.Imekuwa vizuri aliandika mali amewaachia Zari na watoto. Na Zari kuendeleza yote yake, kuanzia biashara walizokuwa nazo pamoja za colleges n.k.
bahresa ila kwa bahashaHivi bongo nani huwaga anagawa pesa?
Is slavery still lingering in your mind?This article is presented in English... buddies discuss it in swahili
Acha wivu mwanaume11. Tanzanians tunapenda sana habar za watu kuliko maendeleo yetu binafsi.
Hv hapo kuna sehem nmemuonea mtu wivuAcha wivu mwanaume