Miaka ya nyuma adui mkuu wa Museveni alikuwa Daktari Kiiza Besigye, mpiganaji mwenzie wa mstuni na mshirika wa Museveni wakati wa mapambano.
Museveni alitumia kila njia kumdhibiti msomi hii ikiwa pamoja na kukamatwa sana, kufungiwa nyumbani na mengi mengineyo.
Besigye alifikia mahali akaamua kupumzika lakini badala yake amezuka Mwanamuziki (sio Daktari kama Besigye, hakupigana msituni) na huyu anampeleka mbio Museveni.
Tuna la kujifunza. Nchi inaweza ikaangukia katika mikono ambayo haikutayarishwa kwa sababu ya watawala kuwa myopic
Museveni alitumia kila njia kumdhibiti msomi hii ikiwa pamoja na kukamatwa sana, kufungiwa nyumbani na mengi mengineyo.
Besigye alifikia mahali akaamua kupumzika lakini badala yake amezuka Mwanamuziki (sio Daktari kama Besigye, hakupigana msituni) na huyu anampeleka mbio Museveni.
Tuna la kujifunza. Nchi inaweza ikaangukia katika mikono ambayo haikutayarishwa kwa sababu ya watawala kuwa myopic