Fupa la umeme kumchafua Dotto Biteko?

Fupa la umeme kumchafua Dotto Biteko?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Dotto Biteko aliteuliwa 30 August, 2023 na kuapishwa 1 September, 2023. Siku ya kuapishwa mhe rais alitoa miezi 6 kero za umeme ziwe zimemalizika.

Kimahesabu kutoka 1 September 20223 mpk leo 15 December 2023 bado miezi 2 na nusu muda uwe umeisha. Lkn sioni mipango, mikakati wala mbinu za Biteko kuondoa kadhia na kashda za umeme hapa nchini.

January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.

Lkn maadui na mahasimu wa Makamba (ambao kwa sehemu kubwa ni sukuma gang) walikuwa wakipiga kelele kana kwamba matatizo ya umeme kayaleta Makamba. Mama akaona isiwe shida kamteua Dotto Biteko Siwasikii tena kusema ingawa matatizo yanaongezeka lkn kwa kuwa ni sukuma gang mwenzao wameufyata.

Sasa hili fupa la umeme halitamwacha salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.

Biteko amewekwa kwenye mtego wa umeme.
 
Dotto Biteko aliteuliwa 30 August, 2023 na kuapishwa 1 September, 2023. Siku ya kuapishwa mhe rais alitoa miezi 6 kero za umeme ziwe zimemalizika.

Kimahesabu kutoka 1 September 20223 mpk leo 15 December 2023 bado miezi 2 na nusu muda uwe umeisha. Lkn sioni mipango, mikakati wala mbinu za Biteko kuondoa kadhia na kashda za umeme hapa nchini.

January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.

Lkn maadui na mahasimu wa Makamba (ambao kwa sehemu kubwa ni sukuma gang) walikuwa wakipiga kelele kana kwamba matatizo ya umeme kayaleta Makamba. Mama akaona isiwe shida kamteua Dotto Biteko Siwasikii tena kusema ingawa matatizo yanaongezeka lkn kwa kuwa ni sukuma gang mwenzao wameufyata.

Sasa hili fupa la umeme halitamwacha salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.

Biteko amewekwa kwenye mtego wa umeme.
Wewe ni bogus...
 
salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.
Katika hao wote Le Profeseri Muhongo alitatua kero ya kukatika umeme ovyo na kuchelewa kupata huduma toka watu wa dharula wa TANESCO.
Mvurugano ukaanza kwa Kalemani akaja kuvuruga kila kitu Januari Makamba.
 
Wenye nongwa walikuwa wakimsakama Januari Sasa kikowapi?
emoji2369.png
emoji2369.png
Nyuso zimewashuka hawana cha kusema, maana mvua zinanyesha mpk milima inaporomoka lkn mgawo unaendelea. Dotto Biteko bure kabisa huyu.

Eti mwalimu wa primary anakuwa naibu waziri mkuu. Puaaa!
 
Dotto Biteko aliteuliwa 30 August, 2023 na kuapishwa 1 September, 2023. Siku ya kuapishwa mhe rais alitoa miezi 6 kero za umeme ziwe zimemalizika.

Kimahesabu kutoka 1 September 20223 mpk leo 15 December 2023 bado miezi 2 na nusu muda uwe umeisha. Lkn sioni mipango, mikakati wala mbinu za Biteko kuondoa kadhia na kashda za umeme hapa nchini.

January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.

Lkn maadui na mahasimu wa Makamba (ambao kwa sehemu kubwa ni sukuma gang) walikuwa wakipiga kelele kana kwamba matatizo ya umeme kayaleta Makamba. Mama akaona isiwe shida kamteua Dotto Biteko Siwasikii tena kusema ingawa matatizo yanaongezeka lkn kwa kuwa ni sukuma gang mwenzao wameufyata.

Sasa hili fupa la umeme halitamwacha salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.

Biteko amewekwa kwenye mtego wa umeme.

Heri turejee tulikotoka na kina January na Maharage
 
Dotto Biteko aliteuliwa 30 August, 2023 na kuapishwa 1 September, 2023. Siku ya kuapishwa mhe rais alitoa miezi 6 kero za umeme ziwe zimemalizika.

Kimahesabu kutoka 1 September 20223 mpk leo 15 December 2023 bado miezi 2 na nusu muda uwe umeisha. Lkn sioni mipango, mikakati wala mbinu za Biteko kuondoa kadhia na kashda za umeme hapa nchini.

January Makamba akiwa waziri wa nishati alionesha mikakati, mipango, dira na mbinu za kuondoa shida na kashda za umeme. Makamba alikuwa mkweli kwa kusema kuwa itachukuwa muda kulimaliza tatizo.

Lkn maadui na mahasimu wa Makamba (ambao kwa sehemu kubwa ni sukuma gang) walikuwa wakipiga kelele kana kwamba matatizo ya umeme kayaleta Makamba. Mama akaona isiwe shida kamteua Dotto Biteko Siwasikii tena kusema ingawa matatizo yanaongezeka lkn kwa kuwa ni sukuma gang mwenzao wameufyata.

Sasa hili fupa la umeme halitamwacha salama Biteko. Litamchafua tu. Kumbukeni akina Karamagi, Msabaha, Muhongo, Ngereja, n.k. Huyu Kalemani aliponea mgongo wa udikteta wa jiwe aliyebinya uhuru wa vyombo vya habari na ule wa watu kujieleza. Vinginevyo naye angechafuka tu.

Biteko amewekwa kwenye mtego wa umeme.
upuuzi tu.
 
Hv mwl wa Primary sifa yake ni bogus kweli.hv ww hukupita primary school mdogo wangu?naomba tuache dharau kwa walimu tafadhali.
Mwalimu wa primary siyo bogus. Lkn hastahili hata kuwa waziri achilia mbali naibu waziri mkuu.

Kiingereza cha sheria za mikataba atakiweza kweli?
 
Suala la umeme ni jenga kwa taifa na umma umepoteza pesa nyingi sana,kwenye ufisadi kuhusu umeme.

Lawama asipewe Biteko maana hata Honorable causa umeme umemshinda.
Kitu chochote kinachosimamiwa na Serikali hakiwezi kuwa na mafanikio kutokana na aina ya watu waliopo huko Serikalini. Ni kama serikali inawatafuta watu wenye uwezo duni kabisa kuwa viongozi.
 
Back
Top Bottom