Hello JF!!
Katika Maisha mwanadamu aweza kuwa ni mwenye kufurahia ama kufurahishwa, hivyo kwa minajili hio basi Raha na Furaha si vitu ama hali inayoweza kununuliwa ama kununulika kwa namna yoyote ile.
Mwenye kukufurahia anakupenda na mwenye kufurahishwa ni mnafiki.
Ni hayo tu kwa uchache
Wadiz.