Wadau hebu jaribu kujikumbusha siku ambayo katika maisha yako ulifurahi sana na siku ambayo ulisikitika sana.Katika majonzi na katika raha mara nyingi huwa kuna kitu tunajifunza.
Naanza kujikumbusha mimi:
My happiest day: Siku Baba yangu aliponiambia nimefaulu mtihani wa darasa la saba!
My saddest moment: Watching my childrean's reaction the moment I told them their Mom had died!