BenElohimy
Senior Member
- Sep 21, 2021
- 181
- 222
Achana kwanza na habari za furaha we ngano kilo bei gani uko vp mafuta lita!!!?Wengi wetu upenda kusema nikifikia hatua fulani ya maisha hakika nitafurahi, lakini ukumbuke siku hiyo hauijui, wala majira yake hauyajui na kwa kufanya hivyo hauwezi kuwa na furaha iliyo kamili.
Lakini Jumapili ya leo nakuambia furahia pale ulipo, naam na kule unakoelekea utafika kwa msaada wa Bwana. Furahia maisha uliyonayo, furahia vile ulivyo navyo.
Ishi kwa furaha.
Ishi sasa, kesho hujui ya jana yaachee then furahia lifeAsante mkuu nilipanga mchana nikameze beer pemben "mdudu" ila ngoja niende sasa hv!
Una makasiriko!! Ndugu furahia maishaAchana kwanza na habari za furaha we ngano kilo bei gani uko vp mafuta lita!!!?
Asante kwa ujumbe mkuuWengi wetu upenda kusema nikifikia hatua fulani ya maisha hakika nitafurahi, lakini ukumbuke siku hiyo hauijui, wala majira yake hauyajui na kwa kufanya hivyo hauwezi kuwa na furaha iliyo kamili.
Lakini Jumapili ya leo nakuambia furahia pale ulipo, naam na kule unakoelekea utafika kwa msaada wa Bwana. Furahia maisha uliyonayo, furahia vile ulivyo navyo.
Ishi kwa furaha.