Furaha ya Kweli haiji kwa ku Boost na Pombe au ulevi. Furaha ya kweli haihitaji Gharama

Furaha ya Kweli haiji kwa ku Boost na Pombe au ulevi. Furaha ya kweli haihitaji Gharama

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
True happyness does not demand expensive stuff.

Watu wengi duniani hawana furaha, hivyp basi inawalazimu kuforce Furaha ije hata kwa kiki ya piki piki.

Watu wafuatao hawana fursha hata kama wanajifaragua na makeke mengi.

1. Mtu anayehitaji kunywa pombe sana na vilevi vikali
2. Watu wanaohitaji Mishahara mikubwa sana na vipato vya juu ili kujiboost moyo.
3. Mtu anayehitaji vyeo kwa kuhakikisha wenzake wanaishi kama mashetani.

4. Mtu anayepata furaha mpaka akiona jirani yake anaumia au yuko ktk mahanhaiko yeye ndio anapata furaha ya moyo
5. Mtu anayehutaji awe na nyumba kubwa ya kifahari huku majirani zake wabaki kuwa na vinyumba vya kawaida

6. Mtu anayefurahi kula nyama kilo tatu kwa meza yeye na marafiki wawili huku jirani zake wakiwa hata mlo mmoja wanaupata kwa shida.

7. Mtu yule anayehutaji alale na wanaume wengi au wanawake wengi ndio ajisikia raha huyo hana furaha hata angelala na wanawake 700.

8. Mtu anayehitaji kuteka, kutesa, na hata kuua ili awe huru na awe na amani automatically huyo hana furaha

9. Mlevi anyekunywa Bar moja hadi saa nane usiku na akitoka hapo haendi nyumbani badala yake anahamia Bar nyingine, hapo My friend hakuna furaha

Hizi Furaha za Kuboost ni miyeyusho tu. Yaani mpaka ule madawa ya kulevya ndio upate furaha? Mpaka ujiuze upate hela ndio upate furaha? Mpaka uteke watu au udhulumu?

Hizo ni Fake Happyness.
Do not waste your Precious time for Life in searching for virtual and unreal happyness.
 
Kale kafuraha una demu mpya, kafuraha unamnyandua analia kwa raha, furaha unashusha mzigo, furaha ushamla...umelala pembeni yake umepumzika akili imetulia na usingizi unakunyemelea na hauna madeni. Kiufupi upo financially stable na una afya njema na kabla ya kumla mtoto mlicheck status ya HIV na mkawa mko poa.....raha sana.
 
True happyness does not demand expensive stuff.

Watu wengi duniani hawana furaha, hivyp basi inawalazimu kuforce Furaha ije hata kwa kiki ya piki piki.

Watu wafuatao hawana fursha hata kama wanajifaragua na makeke mengi.

1. Mtu anayehitaji kunywa pombe sana na vilevi vikali
2. Watu wanaohitaji Mishahara mikubwa sana na vipato vya juu ili kujiboost moyo.
3. Mtu anayehitaji vyeo kwa kuhakikisha wenzake wanaishi kama mashetani.

4. Mtu anayepata furaha mpaka akiona jirani yake anaumia au yuko ktk mahanhaiko yeye ndio anapata furaha ya moyo
5. Mtu anayehutaji awe na nyumba kubwa ya kifahari huku majirani zake wabaki kuwa na vinyumba vya kawaida

6. Mtu anayefurahi kula nyama kilo tatu kwa meza yeye na marafiki wawili huku jirani zake wakiwa hata mlo mmoja wanaupata kwa shida.

7. Mtu yule anayehutaji alale na wanaume wengi au wanawake wengi ndio ajisikia raha huyo hana furaha hata angelala na wanawake 700.

8. Mtu anayehitaji kuteka, kutesa, na hata kuua ili awe huru na awe na amani automatically huyo hana furaha

9. Mlevi anyekunywa Bar moja hadi saa nane usiku na akitoka hapo haendi nyumbani badala yake anahamia Bar nyingine, hapo My friend hakuna furaha

Hizi Furaha za Kuboost ni miyeyusho tu. Yaani mpaka ule madawa ya kulevya ndio upate furaha? Mpaka ujiuze upate hela ndio upate furaha? Mpaka uteke watu au udhulumu?

Hizo ni Fake Happyness.
Do not waste your Precious time for Life in searching for virtual and unreal happyness.
yes, FURAHA ni tunda la Roho Mtakatifu. Ni zao lipatikanalo katika moyo wa mtu pale tu anapomwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake, yaani KUOKOKA.

WAGALATIA 5:22-23

Wagalatia 5 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²² Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,
²³ upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.
 
yes, FURAHA ni tunda la Roho Mtakatifu. Ni zao lipatikanalo katika moyo wa mtu pale tu anapomwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake, yaani KUOKOKA.

WAGALATIA 5:22-23

Wagalatia 5 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²² Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,
²³ upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.
Ameeni Mtumishi wa Mungu
 
yes, FURAHA ni tunda la Roho Mtakatifu. Ni zao lipatikanalo katika moyo wa mtu pale tu anapomwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake, yaani KUOKOKA.

WAGALATIA 5:22-23

Wagalatia 5 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²² Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,
²³ upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.
Ameeni Mtumishi wa M
Sex addiction/hypersexuality.
Unaona inaitwa Addiction haiitwi furaha
 
Kale kafuraha una demu mpya, kafuraha unamnyandua analia kwa raha, furaha unashusha mzigo, furaha ushamla...umelala pembeni yake umepumzika akili imetulia na usingizi unakunyemelea na hauna madeni. Kiufupi upo financially stable na una afya njema na kabla ya kumla mtoto mlicheck status ya HIV na mkawa mko poa.....raha sana.
Unaona sasa kwenye hako ka furaha kuna mahali umetaja Pombe, kuna mahali umetaja Wine ya elfu 40? Kuna mahali umetaja Wanawake 14? Au kuna mahali umesema lazima ule Kuku mzima?

Furaha huwa inakuja tu haihitaji kuboost
 
Back
Top Bottom