ameeeeeeeeeeeeeeeeenfuraha ya maisha ipo ndan ya Yesu!
kote kuna raha yake ili mradi umpate yule munaendana kwa kila kitu na kuelewana kwa kila sehemu hapo mtaenjoy sana na hutaona tofauti ya aliye ktk ndoa au nje ya ndoaHi wana Jf, naomba tujadili kuhusu maisha ya ndani au nje ya ndoa ni yapi yanafuraha zaidi? Sasa hivi ukikaa na wana ndoa hawaishi kulalamika juu ya ndoa zao, vile vile wasio na ndoa wanatamani sana kuingia ktk ndoa, hapo ndipo ninapoachwa njia panda. Furaha ya maisha ipo wapi? Ndani au nje ya ndoa?
ameeeeeeeeeeeeeeeeen
ndio na umpate basi mwenz anayejua nn maana ya ndoa na kuheshimu ndoa piaKwenye ndoa kuna furaha zaidi.
yani nimepata amani ya gafla niliposoma ulivoandika furaha kwa yesu tuubarikiwe mpendwa CUTE!!!!
we umo nje au ndani ya ndoa???Kila mtu anataste yake..hatuwezi kufanana wote!
Kwa upande wangu maisha nje ya ndoa nayaona matamu compare na walio ndoani..
umeongea vizur sana hasa ktk blackNi wewe mwenyewe na ujipime kwenye kila kitu
Maana kila kitu kina kiasi na ukizidisha ni kero
Unataka kupata nini katika ndoa
Na anayelalamika kuhusu ndo aana yake aliyoyatamani ambayo kwake anaona hajatimiza na ambaye anafurahia ujana nae ana yake ambayo bado anaendelea nayo nayo yanampa furaha
Jipime kwa kila kitu kama uko tayari kuingia kwenye ndoa ingia kama hauko tayari na unaona maisha ya kuwa single ni mazuri endelea nayo mpaka muda wako
Usilazimishe chochote au usifuate mkumbo