NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Furaha ya mashabiki wa Simba sc ipo mikononi mwa Mamelody Fc, hapa hakuna Tena uzalendo aliouzungumza waziri wa michezo
Mashabiki wa Simba sc wanaomba Mamelody Fc washinde ili mzani ubalance.
Je Yanga watapeleka kilio Mara mbili kwa mashabiki wa Simba sc au Mamelody Fc watairudisha furaha ya wanasimba?!
Mashabiki wa Simba sc wanaomba Mamelody Fc washinde ili mzani ubalance.
Je Yanga watapeleka kilio Mara mbili kwa mashabiki wa Simba sc au Mamelody Fc watairudisha furaha ya wanasimba?!