Furaha ya mashabiki wa Simba sc itarejea endapo Mamelody Fc wataikanda Yanga Sc kwa mkapa

Furaha ya mashabiki wa Simba sc itarejea endapo Mamelody Fc wataikanda Yanga Sc kwa mkapa

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Furaha ya mashabiki wa Simba sc ipo mikononi mwa Mamelody Fc, hapa hakuna Tena uzalendo aliouzungumza waziri wa michezo

Mashabiki wa Simba sc wanaomba Mamelody Fc washinde ili mzani ubalance.

Je Yanga watapeleka kilio Mara mbili kwa mashabiki wa Simba sc au Mamelody Fc watairudisha furaha ya wanasimba?!
 
Back
Top Bottom