Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
GOOD GIRLNakubaliana na wewe 99%
1% ninayoikataa ni ya kipigo. Yaani nitafanya lolote kuhakikisha simfikishi mwanaume kwenye hatua ya kunipiga😥😥 Naogopa kipigo zaidi ya kitu chochote mimi
Na naamini wanaume wengi huwa wanaishia kupiga wanawake sababu ya wanawake kuongea sana na kuwapa majibu mabaya/dharau. Heri kunyamaza shetani apite tuyajenge tukiwa na utulivu kuliko kipigo 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Mkufukua Makaburi[emoji23]KUDOS
Nakubaliana na wewe 99%
1% ninayoikataa ni ya kipigo. Yaani nitafanya lolote kuhakikisha simfikishi mwanaume kwenye hatua ya kunipiga[emoji26][emoji26] Naogopa kipigo zaidi ya kitu chochote mimi
Na naamini wanaume wengi huwa wanaishia kupiga wanawake sababu ya wanawake kuongea sana na kuwapa majibu mabaya/dharau. Heri kunyamaza shetani apite tuyajenge tukiwa na utulivu kuliko kipigo [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
hahahah nimejikuta tu nausoma huu uzi nikaupendaMkufukua Makaburi[emoji23]
umegusa kulekule mwambaWanaume wengi tunafeli hapa, kucheza na hisia za mwanamke.
Kujua kucheza na hisia za mwanamke hakukufanyi mwanamke awe wako peke yako, wanawake ni mashetani, wanataka mwanaume uwe mkamilifu nyanja zote ili asibabaike na wanaume wengine. Ukikosa kitu kimoja au viwili na kuendelea, ataona kuna pengo/kitu anakosa, atavutika na mwanaume mwingine bila kujijua mwenye kitu ambacho huna kufidia ukamilifu wa furaha yake ya kike. Ukikosa ucheshi atavutika na wanaochekesha, ukikosa pesa atavutika na wenye pesa kwenye kipengele cha pesa, ukikosa ukatili atavutika kwa makatili kuziba pengo la ukatili ulilokosa, ukikosa show ya kibabe, atanasa kwa wenye show za kibabe, ukikosa bashasha atavutika kwa wenye bashasha n.k.
Wanawake ni viumbe visivyotosheka
mmmmhMwanaume mwenye Furaha ni yule anayeishi kwenye
1: Moyo wa Mwanamke
2: Sala ya Mwanamke
3: Kumbukumbu ya Mwanamke
Ni ngumu kwa Mwanaume kuwa na amani kama kuna huzuni ndani ya moyo wa Mwanamke wake
Ni ngumu kwa Mwanaume kuwa mwenye baraka kama amesahaulika kwenye sala ya Mwanamke wake
Ni ngumu kwa Mwanaume kuwa na kesho nzuri kama kuna jeraha ameliacha kwenye kumbukumbu ya Mwanamke wake
Je, umeshawahi kujiuliza Furaha ya Mwanamke iko wapi?
Kwenye mioyo ya Wanaume? Hapana, wanaume hawajaumbwa na hisia za kudumu. Ni rahisi sana kubadilika. Mioyo yao ni rahisi kuingia kwenye matamanio
Kwenye sala ya mwanaume? Hapana. Tafiti zinaonyesha, kwa asilimia kubwa Wanaume hulalamika wanapozungumza na Mungu, hawaombi
Kwenye kumbukumbu? Si kweli, wanaume huwa na Moments sio Memories
Ni wapi Wanawake hupata Furaha zao? jibu ni KWENYE FURAHA ZA WANAUME
ONCE A MAN IS HAPPY, HIS WOMAN IS ALSO HAPPY
Wanawake hutengeneza furaha za Wanaume ili wapate furaha zao
Nini nataka tujifunze kutoka sasa? Tusiwape wakati mgumu Wanawake. They are struggling enough kwa ajili ya kutafuta Furaha zao....
kauli moja ya dharau sana hii, nitamchangamsha na makofi mawili matatu kwanza network isomeUkiliweza hili hakuna mwanaume wa kukupiga wanawake wanaponzwa na kujifanya wajuaji ety nipige we si.mwanaume aisee hii.kauli ukiniambia utajikuta huna pua
Njoo kwangu mama D, Mimi nitakupiga kwa mkuyenge tu hadi uote sugu.Nakubaliana na wewe 99%
1% ninayoikataa ni ya kipigo. Yaani nitafanya lolote kuhakikisha simfikishi mwanaume kwenye hatua ya kunipiga[emoji26][emoji26] Naogopa kipigo zaidi ya kitu chochote mimi
Na naamini wanaume wengi huwa wanaishia kupiga wanawake sababu ya wanawake kuongea sana na kuwapa majibu mabaya/dharau. Heri kunyamaza shetani apite tuyajenge tukiwa na utulivu kuliko kipigo [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Njoo kwangu mama D, Mimi nitakupiga kwa mkuyenge tu hadi uote sugu.
Hapana mama D,si nitakuwa nakuandaa Kwanza?!!!!. Najua Wanawake mnapenda mikuyenge kwa hiyo nitakupiga kwa mkuyenge.Kupigwa huko kwani adhabu au kukomoa jameni[emoji28][emoji28]
Hapana mama D,si nitakuwa nakuandaa Kwanza?!!!!. Najua Wanawake mnapenda mikuyenge kwa hiyo nitakupiga kwa mkuyenge.
Mbususu.Na nyie wanaume mnapenda nini
Zerooo eti mwanamke anayekutegemea kwa pes zako atakuzingua ulizani nani akutunzie familia yako akiwepi mke jitoe ufahamu hata mama ko alitunzwa na baba ako nawewe hapo navimawazo vyako feki mlitunzwa ada ulilipiwa na baba ako utabakia single utakufa single kisa kutaka hela za wanawake .Unaweza ukashangaa hili, ila uhalisia nikwamba Ili Mwanamke Akupende kwa dhati Daima ni lazima huko mwanzo uhakikishe kwamba Ulimpitisha kwenye Mateso ya Kihisia.
Mtu anaweza niuliza, kwahiyo mwanamke havutiwi na wanaume wanaompa Starehe na mitoko ya kila aina ?
Lkn , Ukielewa jinsi "Ubongo wa mwanamke unavyofanya kazi" , utapata jibu.
Ubongo wa mwanamke , Uliumbwa kwa uwezo wa " Kutohoa Furaha kutoka katika Hisia "
Ndio sababu mwanamke anaweza Kuangalia tamthiliya za majonzi na kweli nayeye akaanza kulia weeeeee kama vile nikweli.
Ataangalia Tamthiliya fulani labda inayohusu mwanamke fulan anayepitia jambo fulani " ila yeye ataishia kusema ningekua mimi ningefanya moja, mbili, tatu "
Kwann haya ??? Jibu ni Hisia.
Mtunzi mzuri wa Riwaya, Tamthiliya n.k, Lazima atumie mbinu ya kuteka hisia ..ndio maana kuna Movies huwa zinawaliza watu lkn hawachoki kuzitazama !!!
Kwann?? Kwa sababu ya HISIA ... Unapokua chanzo cha Hisia za Furaha na hisia za Huzuni kwa Mwanamke... Ubongo wake utakutafasiri kama mwanaume pekee unayemuwezea na hapo MAISHA YAKE YA KIHISIA YATAKUTEGEMEA WEWE.( Kwenye hii hatua unakua umefaulu kumfanya mtumwa wa kihisia kwako).
Simaanishi Vipigo na matusi au nn [emoji23][emoji23].... Panapohitajika KARIPIO MPE KARIPIO. panapohitajika MAKOFI MAWILI MATATU MPEE .panapohitaj Kuelekezwa MUELEKEZE ,panapohitajika Kumtesa Kihisia ( mfano kumwonyesha unaweza ishi bila yeye, MWONYESHE ) panapohitajika KUMBEBISHA, MBEBISHE SANAA TU AJIONE MALAIKA.......HATOKAA KUKUACHA ET KWA SABABU YA HAYO.
kumbukeni, kuna wakat huwa mpaka wanaanzisha vidrama drama ili mradi mkwaruzane kwaruzane, ajihisi MPYA.......
[emoji109]HIYO NI ASILI HATUWEZI KAMWE KUPINGANA NAYO
[emoji117]TUYAACHE HAYO...... TUJE KWENYE LENGO LA UZI
Hivi unajua Furaha ya Mpenzi/ mkeo imeegemea kwako??
sikilizeni niwambie, Furaha ya mwanamke kwenye uhusiano nawewe inafuata haya
[emoji818]UONGOZI .... Fanya unavyoweza ,fanya ujuayo ,wewee sijui kua bize sanaa, HAKIKISHA umemfanya mkeo/mpenzi wako aamini kua wee ni KIONGOZI WAKE UNAYEMUONGOZA.
[emoji818]MAMLAKA ... yaan hata aweje ,awe kasoma sana zaidi yako. Awe uwezo mkubwa kiuchumi, hakikisha umefanya ajue , WEWE NDIO MWENYE MAMLAKA NAYE
[emoji818]KUTAWALA..... Kwa sababu ni wako. Mfanye ajue wee ndio unayemtawala.
Haraka haraka katika Dunia yetu, utasikia mwanamke anakuambia,
--sipendi mwanaume mwenye kunitawala.
--napenda mwanaume anayenisikiliza kila nachomwambia
Lkn ndugu zangu ukweli nikua huyu mwanamke hata kutoka ndani ya moyo wake, anakua anataka uwe dominant wake ,anakua anataka uwe mamlaka juu yake, anakua anataka uwe kiongozi wa maisha yake.. NA KWA WEWE KUFANYA HIVO NDIVYO YEYE ANAJIHISI MWENYE FURAHA[emoji23]
Wanawake walio wengi hawapendi kua kama "Mama yako aliyekuzaa" yaan akuleee ,yeye ndio akuoshe, akuvishe nguo. Akutawaze ,akunywenye uji. Ulale ....hawapendi.
Mwanamke hata kama Amekuzidi umri, ili mradi ni mpenzi wako. HAKIKISHA UNAKUA MWANAUME. MWANAUME KTK NYANJA ZA KUMTAWALA, KUMUONGOZA NA KUA NA MAMLAKA JUU YAKE .
HATA KAMA KAKUZIDI ELIMU. AU AMEKUZIDI UCHUMI, AU VYOVYOTE VILE, HAYO MAMBO MATATU. YASIKUTOKE MAISHANI MWAKO.
Usipokua nayo, Hata, uletewe mwanamke asiye na kila kitu yaan kuishi kwake kunakutegemea Pesa yako, ATAKUSUMBUA SANA TU.
Kwan mnadhan , Madem huwa wanafata nn kwa Bad boys???.
Na kwann mahusiano mengi au ndoa zile ambazo Mwanaume ni Mlokole , bebi bebi nyingiiii weee, mara nn, ndizo zinaongoza kuvunjika ????.
Kua na hayo, alafu mpende. Mjali. Mthamini kama mkeo ,mpenzi wako.
Maneno yangu sio sheria!!
Atomic bomb nimelihifadhi kwa kazi maalumuUnaweza ukashangaa hili, ila uhalisia nikwamba Ili Mwanamke Akupende kwa dhati Daima ni lazima huko mwanzo uhakikishe kwamba Ulimpitisha kwenye Mateso ya Kihisia.
Mtu anaweza niuliza, kwahiyo mwanamke havutiwi na wanaume wanaompa Starehe na mitoko ya kila aina ?
Lkn , Ukielewa jinsi "Ubongo wa mwanamke unavyofanya kazi" , utapata jibu.
Ubongo wa mwanamke , Uliumbwa kwa uwezo wa " Kutohoa Furaha kutoka katika Hisia "
Ndio sababu mwanamke anaweza Kuangalia tamthiliya za majonzi na kweli nayeye akaanza kulia weeeeee kama vile nikweli.
Ataangalia Tamthiliya fulani labda inayohusu mwanamke fulan anayepitia jambo fulani " ila yeye ataishia kusema ningekua mimi ningefanya moja, mbili, tatu "
Kwann haya ??? Jibu ni Hisia.
Mtunzi mzuri wa Riwaya, Tamthiliya n.k, Lazima atumie mbinu ya kuteka hisia ..ndio maana kuna Movies huwa zinawaliza watu lkn hawachoki kuzitazama !!!
Kwann?? Kwa sababu ya HISIA ... Unapokua chanzo cha Hisia za Furaha na hisia za Huzuni kwa Mwanamke... Ubongo wake utakutafasiri kama mwanaume pekee unayemuwezea na hapo MAISHA YAKE YA KIHISIA YATAKUTEGEMEA WEWE.( Kwenye hii hatua unakua umefaulu kumfanya mtumwa wa kihisia kwako).
Simaanishi Vipigo na matusi au nn [emoji23][emoji23].... Panapohitajika KARIPIO MPE KARIPIO. panapohitajika MAKOFI MAWILI MATATU MPEE .panapohitaj Kuelekezwa MUELEKEZE ,panapohitajika Kumtesa Kihisia ( mfano kumwonyesha unaweza ishi bila yeye, MWONYESHE ) panapohitajika KUMBEBISHA, MBEBISHE SANAA TU AJIONE MALAIKA.......HATOKAA KUKUACHA ET KWA SABABU YA HAYO.
kumbukeni, kuna wakat huwa mpaka wanaanzisha vidrama drama ili mradi mkwaruzane kwaruzane, ajihisi MPYA.......
[emoji109]HIYO NI ASILI HATUWEZI KAMWE KUPINGANA NAYO
[emoji117]TUYAACHE HAYO...... TUJE KWENYE LENGO LA UZI
Hivi unajua Furaha ya Mpenzi/ mkeo imeegemea kwako??
sikilizeni niwambie, Furaha ya mwanamke kwenye uhusiano nawewe inafuata haya
[emoji818]UONGOZI .... Fanya unavyoweza ,fanya ujuayo ,wewee sijui kua bize sanaa, HAKIKISHA umemfanya mkeo/mpenzi wako aamini kua wee ni KIONGOZI WAKE UNAYEMUONGOZA.
[emoji818]MAMLAKA ... yaan hata aweje ,awe kasoma sana zaidi yako. Awe uwezo mkubwa kiuchumi, hakikisha umefanya ajue , WEWE NDIO MWENYE MAMLAKA NAYE
[emoji818]KUTAWALA..... Kwa sababu ni wako. Mfanye ajue wee ndio unayemtawala.
Haraka haraka katika Dunia yetu, utasikia mwanamke anakuambia,
--sipendi mwanaume mwenye kunitawala.
--napenda mwanaume anayenisikiliza kila nachomwambia
Lkn ndugu zangu ukweli nikua huyu mwanamke hata kutoka ndani ya moyo wake, anakua anataka uwe dominant wake ,anakua anataka uwe mamlaka juu yake, anakua anataka uwe kiongozi wa maisha yake.. NA KWA WEWE KUFANYA HIVO NDIVYO YEYE ANAJIHISI MWENYE FURAHA[emoji23]
Wanawake walio wengi hawapendi kua kama "Mama yako aliyekuzaa" yaan akuleee ,yeye ndio akuoshe, akuvishe nguo. Akutawaze ,akunywenye uji. Ulale ....hawapendi.
Mwanamke hata kama Amekuzidi umri, ili mradi ni mpenzi wako. HAKIKISHA UNAKUA MWANAUME. MWANAUME KTK NYANJA ZA KUMTAWALA, KUMUONGOZA NA KUA NA MAMLAKA JUU YAKE .
HATA KAMA KAKUZIDI ELIMU. AU AMEKUZIDI UCHUMI, AU VYOVYOTE VILE, HAYO MAMBO MATATU. YASIKUTOKE MAISHANI MWAKO.
Usipokua nayo, Hata, uletewe mwanamke asiye na kila kitu yaan kuishi kwake kunakutegemea Pesa yako, ATAKUSUMBUA SANA TU.
Kwan mnadhan , Madem huwa wanafata nn kwa Bad boys???.
Na kwann mahusiano mengi au ndoa zile ambazo Mwanaume ni Mlokole , bebi bebi nyingiiii weee, mara nn, ndizo zinaongoza kuvunjika ????.
Kua na hayo, alafu mpende. Mjali. Mthamini kama mkeo ,mpenzi wako.
Maneno yangu sio sheria!!