Furaha ya Nahreel baada ya kuwepo nyimbo 4 kwenye Chart ya MTVBASE alizotengeneza yeye

Furaha ya Nahreel baada ya kuwepo nyimbo 4 kwenye Chart ya MTVBASE alizotengeneza yeye

Kidingi

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
1,872
Reaction score
1,832
Muziki wa Bongo unaendelea kukua siku hadi
siku na kutambulika kimataifa, kutokana na kazi
za wasanii wetu kuendelea kushika chati
mbalimbali kwenye vituo vikubwa vya kimataifa
hadi kufika nafasi za juu.

MTV Base wana chati ya video 10 za Afrika
iitwayo Official African Chart, na miongoni mwa
video zilipo katika chati hiyo wiki hii, 4 ni za
wasanii wa Tanzania.

Producer Nahreel ana kila sababu ya kufurahia
mafanikio hayo kama Mtanzania, lakini anayo
sababu nyingine ya kutabasabu kwasababu
wimbo wao ‘Game’ ni miongini mwa video bora
10 Afrika kwa sasa, na anayo sababu ya ziada ya
kujivunia kwasababu yeye ndiye producer
aliyetengeneza nyimbo zote nne za wasanii wa
Tanzania zilizoko kwenye chati hiyo.

Hizi ni nyimbo 4 zilizoko kwenye African Chart
Top10 ya MTV Base wiki hii:
Nafasi ya 1 imekamatwa na diamond ft. Flavour
wimbo ni ‘Nana’
Nafasi ya 5 imekamatwa na Navy Kenzo ft.
Vanessa Mdee wimbo ni ‘Game’
Nafasi ya 7 ni Joh Makini ft. G-Nako wimbo ni
‘Nusu Nusu’
Na Bonus track ni video mpya ya Jux ft. Joh
Makini wimbo ni ‘Looking For You’

Nahreel amezungumza na Bongo5 na kuelezea
furaha aliyonayo kwa mafanikio hayo;
“Kwakweli najisikia vizuri sana, kwanza
inaniongezea nguvu ya kuendelea kufanya kazi
zaidi, kwasababu nguvu nayoiweka ni kubwa na
unajua unapoweka nguvu halafu unaona matunda
yake inakupa nguvu sana… tutaendelea kuweka
juhudi mpaka hapo tutakapohakikisha MTV nzima
kuna nyimbo 10 za Tanzania.” – Alimaliza
Nahreel.

BY : Bongo5
 
Last edited by a moderator:
Kiba vepeee chekecha haijawahi pigwa MTV tatizo nn anazidiwa na jux na nahreel pwilo
 
hujaelewa au.

Mҽ ŋaɷŋɠҽɭҽa wɩmbɷ waى ŋaɧɾҽҽɭ kųʆaŋaŋa ŋa waى patɷɾaŋkɩŋɠ
 
Kwani usipopigwa MTV inakuaje ?
Na ukipigwa inakuaje?
Au wao ndio clouds ya Africa ?

Kųmbҽ ųɟųɩ MTV ŋɖɷ tɧҽ bɩɠɠҽىt mҽɖɩa kwa Aʆɾɩca kama cɭɷųɖى ɩŋaѵʏɷ kɩmbɩʑa tʑ baىɧ mtѵ ɩŋaɾųŋ Aʆɾɩca
 
Kiba vepeee chekecha haijawahi pigwa MTV tatizo nn anazidiwa na jux na nahreel pwilo

Kwanini umtaje Kiba

Veepe kuhusu wasanii wengine kama mavoko ,chillah ,nay n.k hawastahiki kupigwa MTV ?
 
Last edited by a moderator:
Mҽ ŋaɷŋɠҽɭҽa wɩmbɷ waى ŋaɧɾҽҽɭ kųʆaŋaŋa ŋa waى patɷɾaŋkɩŋɠ

sasa mbona umetaja kiba. bila kumtaja hujisikii eeh
 
Kwanini umtaje Kiba

Veepe kuhusu wasanii wengine kama mavoko ,chillah ,nay n.k hawastahiki kupigwa MTV ?

Kɩba katųmɩa ɠɧaɾama kųbwa kųtҽŋɠҽŋҽʑa ɩɭҽ ѵɩɖҽɷ ŋa tųɭɩwambɩa ŋɩ mbaʏa mkabɩىɧa wҽ ųىɧaŋɠaɩ ɧata tɾacҽ waɭɩpɷ I ɾҽɭҽaىҽ ɧaɩpɷ katɩka cɧat ʑaɷ ɧata mɷɟa
 
sasa mbona umetaja kiba. bila kumtaja hujisikii eeh

Namųɷŋҽa ɧųɾųma ɠɧaɾama aɭɩʑɷ tųmɩa kųtҽŋɠҽŋҽʑa wɩmbɷ aŋɠҽkųwa kaىɧaŋųŋųa mɩʆųkɷ ʏa cҽmҽŋt aacɧҽ kųɩىɧɩ kwa mama yake
 
Kɩba katųmɩa ɠɧaɾama kųbwa kųtҽŋɠҽŋҽʑa ɩɭҽ ѵɩɖҽɷ ŋa tųɭɩwambɩa ŋɩ mbaʏa mkabɩىɧa wҽ ųىɧaŋɠaɩ ɧata tɾacҽ waɭɩpɷ I ɾҽɭҽaىҽ ɧaɩpɷ katɩka cɧat ʑaɷ ɧata mɷɟa

Unatazama trace kila siku kweli
?
Chekecha inagongwa Bob daily kwenye show kama we love r&b and hiphop
 
Namųɷŋҽa ɧųɾųma ɠɧaɾama aɭɩʑɷ tųmɩa kųtҽŋɠҽŋҽʑa wɩmbɷ aŋɠҽkųwa kaىɧaŋųŋųa mɩʆųkɷ ʏa cҽmҽŋt aacɧҽ kųɩىɧɩ kwa mama yake
jione huruma na maisha yako.
 
Unatazama trace kila siku kweli
?
Chekecha inagongwa Bob daily kwenye show kama we love r&b and hiphop

Nataʑama tɾacҽ ɧaɭaʆų wҽ ɭɷѵҽ ɧɩp ɧɷp ŋ ɾŋb ىɩɷ kɩpɩŋɖɩ ŋɩ ىɭɷɠaŋ ʏa tɾacҽ TV km ɩɭɩѵʏɷ kwa ɭɷwaىىa ىaʆaɾɩ ʏa matųmaɩŋɩ ىwaɭɩ ɭaŋɠų ŋɩ kwaŋŋ aɩŋɠɩҽ ktk cɧat ʑaɷ km Aʆɾɩca 10, ųɾbaŋ 10 aų tɷp 30
 
Back
Top Bottom