Thank you Zuriel_cfc [emoji120][emoji120][emoji120]Hepi besdei
duuh sawa ally amefaidiiSio majina tu, tunajuana kila kitu
hamna namnaaHe he na ww umeamua kumwita kwahiyo na ww mnajuana eenh
Ahsante [emoji120][emoji120][emoji120] chiqutittaSijachelewa
Happy birthday my friend.... Mungu wetu mwema akupe afya njema ya mwili na roho
Naamini unafurahia siku yako
Ahsante [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]nashukuru mno financial services japo hujibu PM zangu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445]Happy birthday beberu Wa mwituni, maisha marefu kwakoo
Hayo mambo waachieni wadada na watoto wetu... Inabidi mwanaume ufurahi pale unapoona una familia bora na watoto na mke ana furaha...Unafurahia kuongeza umri ulioishi duniani
Ahsante chief Faljarah Mahsen [emoji120][emoji120][emoji120]Maisha marefu Kwako Mkuu Beberu
Beberu wewe, uongoo hujatuma pm[emoji3] [emoji3]Ahsante [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]nashukuru mno financial services japo hujibu PM zangu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445]