CAF wameshaamua kombe liende kwa waarabu maana TP wangeshinda msimu huu wangelibeba jumla
nakubaliana nawe kuwa furaha ya SSC ipo mashakani sio kwa kutengua rufaa ila muda uliobaki wa maandalizi ya mechi wakati SS Club imeuza wachezaji na haina mbadala wao pia wala kocha hajakaa na timu,hivyo ni daraja kwa Wydad Casablanca kusonga mbele