Furaha yangu mimi kulia...

Nenda Hospitali mbona unakata tamaa mapema kama vile Mungu amekususa wakati he is there for everyone.
 
pole saba dada email yako imenihusunisha sana but mungu tunayemtumainia yupo..soma sana zaburi ya 23, 122 itakusaidia sana tatizo lako litaisha...
 
pole sana,
mtngulize Mungu nae atakuokoa, kwake yote yanawezekana.
pia jikubali jinsi ulivyo, huna haja ya kufua usiku wa manane, huna haja ya kuoga alfajiri... jikubali ishi maisha yako kawaida oga muda wa kawaida, fua muda wa kawaida.

kumbuka kusali, usichoke kumbuka alisema "niite nami nitakuitikia..."
"ombeni mtapewa, tafuteni matapata, bisheni mtafunguliwa..."

usichoke kuomba, Mungu atakujibu kwa wakati wake...
atakujibu kipindi ambacho hujatarajia..
na atakupa hitaji la moyo wako...

kumbuka yeye ndiye ajuae akupe nini kwa wakati upi... yeye ndiye ajuae nini chema kwako...

yote hutoka kwa Mungu, na YESU atakuponya..... kumbuka alimponya mwanamke aliyekuwa anasumbuliwa na kutoka na damu kwa miaka kumi na mbili.....

usikate tamaa, YESU yu pamoja nawe....
 
Dada Pole san endelea kuwa mvumilivu na MUNGU mwema atakuponya.
zidisha maombi
 

Nakubaliana nawe Mandingo hakikisha unaamka mara kwa mara hata kama husikii kwenda haja jilazimishe....jipe moyo nalo hilo litapita usikate tamaa sio wewe pekee mwenye tatizo hilo.
 
Last edited by a moderator:
Pole ndugu, usichoke kutafuta utafanikiwa tu, fuata ushauri wa wadau hapo juu.....na uzidi kumtumainia Mungu wako!
 
Mungu wau haja wahishindwa na hatasindwa amini na kuambia siku inakuja utashuhudia madhabahuni haya ni mapito dada na pole sna jitahidi kwenda kanisani na imani yako isimame usitangetange Mungu atakuponya na hayo masumbufu.
 
Mmmh umeongea kwa huzuni sana jamani.
Pole.
Hilo tatizo linatibiwa hospitali.
Sijui kama kuna dawa za kienyeji ila nina uhakika kuna tiba za hospitali.
Usiende kwa hawa waganga wa hirizi na ramli hayo siyo majini wala mapepo ni ugonjwa wa kawaida tu tena hata baadhi ya wamama wakijifungua hupata hilo tatizo.

Pia kabla hujapata tiba ningekushauri uwe unavaa diappers za watu wazima wakati wa kulala,ziko kama zile zile za watoto ila hizi ni size kubwa.Sijui kama hapa Tanzania zipo ila nchi za ulaya zinapatikana.Hizi zingekusaidia uachane na kufua kila siku halafu unalalia nguo hazijakauka vizuri sio vizuri kwa kweli.

Kuhusu mume,Mungu anapomuumba kila mtu huwa anamuandalia mwenza wake,yeye alimjua atakayekuoa hata kabla hajakuweka tumboni mwa mama yako...hivyo hayo muachie yeye sababu huyo aliyekuandalia Mungu atakuoa na kukupenda na hiyo mikojo yako ataiona si lolote..huna sababu ya kukosa amani kuna wenye matatizo makubwa kuliko yako na huwezi kuwajua sababu wanapita wakitabasamu sababu na wao wanajua kuna wenye shida kubwa kuliko wao..
 
Pole sana jamani, pole bana. Nitakuweka kwenye maombi dear......Mungu ni mwaminifu atakuponya kwa hakika. But pls usijisikie vibaya na kuwa wa huzuni kiasi hicho.......moyo wangu unaumia sana.

Take heart my dia one, God is there for you.
 
Mungu ni wa wote endelea kumtumainia yeye..usinywe kinywaji chochote kabla ya kulala na pia uwe unaweka alarm kwenye simu ikuamshe mara kwa mara..hospital pia unaweza kusaidiwa,pole sana
 
Pole sana.... Dnt feel kua dats the end for u... Kaza buti, cku moja yote haya yatakua historia, Ill pray for u, have faith and pray to God even harder.... Trust in him, Tatizo hilo litaisha sista... Much love, ......
 
Naomba nitumie fursa hii kutoa shkuran zangu za dhati kwa wote wa lothubutu kunipa ushauri au faraja,pia naomba nieleweke "WAGANGA NA WAGAGUZI" na maana HOSPITALI NA TIBA ZA KIENYEJI,kote huku nimeenda,na kuhusu maombezi na fanya na ntazidi kufanya but kwa IMANI YANGU NA C VINGINEVYO CZ AM MUSLIM,thanks again!
 
Nachojua na kuamini na mie huu ni wakati wako wa KUOKOLEWA na we kupata SHUHUDA za kuwaambia watu juu ya UPONYAJI wako. Sehemu fulani ya maelezo yako yanaonesha wazi huamini wala kuabudu katika jina la YESU: ila sikia dadangu hautapata kupona sehemu nyingine yeyote isipokuwa kwa jina la YESU, nakuonea wivu kwani naona kabisa Mungu amekuchagua wewe kuwa MKOMBOZI kwa nyumba yako kupitia jina lake YESU kristo. chukua hatua sasa dadangu tafuta kanisa lolote la KIROHO ambapo kristo huubiliwa katika kweli yote. Hata sasa nakuona umepona ukianza hata kujifunza kulitamka jina la YESU. Mwite Yesu yeye ni zaidi ya yote nakwambia
 
Pole sana.... Dnt feel kua dats the end for u... Kaza buti, cku moja yote haya yatakua historia, Ill pray for u, have faith and pray to God even harder.... Trust in him, Tatizo hilo litaisha sista... Much love, ......

Thanks ma dear!
 
Pole saan dada yangu, nami pia nilikuwa na tatizo kama hilo, nilikojoa kitandani mpaka nikiwa kidato cha pili na tatu, lakini kilicho nisaidia saana ni juhudi za rafiki zangu kunisaidia kuamka kila baada ya muda mfupi mpaka nikazoea (kitabiu inaitwa condition reflex) na pia nilipunguza kufanya mazoezi hasa baada ya masomo hili nisichoke saana na kulala moja kwa moja wakati wa usiku.
Nilionanlo kwako: tatizo hili have affected you emotionally and psychologically plus unemployment, these 3 problems are the main issues affecting your social and economic life. Je huko tayari kumuona daktari wa magonjwa ya akili
(Psychiatry, simahamishi kwamba una ugonjwa wa akili), I see you need psychocounselling to over come the problem. Are you ready for me to connect you to my friend and co-worker in the department of Psychiatry to assist you for this? Let me know, send e-mail in my JF account



 

KILA MTU ANAIMANI YK NDUGU,NINAE NAEMUAMINI AMBAE MUNGU WA MUHAMMAD(s.w) NA ANAWEZA MDA UKIFIKA ATANIPONYA.
 

Ni mawazo yk yanakutuma ivo cwz kukuzuia kufikiria am affected emotionally,i knw ma slf much more than u,am fit psychological bcz i hv already copy with ctuation,bt issue is employment problem,cna kz khy hua vigumu kumudu mahitaji ya pampers cost yk ni 16,500 i cnt afford it,na kila bada ya wiki kadhaa ntkw ninunue,na nw cwezi kupata ajira nasubiri mwakani nimalize chuo ni fight kwa ajira den after dat every thing gonna b alright ctakua na hofu ya kulala popote iwe kwa ndg jama every where i wl be comfortable,bg problem is financial nt psychological,na uzuri wa mambo kama nasomea psychological counsellor khy inakua easy 2 cpy ksb najua jinc ya kutoa iyo hudum jp kua watu husema mganga hajigangi.
 
Mtaftaji nafikiri bado hujapata ndio maana unaendele akutafuta and to me ipo siku utapata tu. pOle sana ma dia expect my pm
 
Last edited by a moderator:
MUNGU ninae mwammini atajibu haja ya moyo wako kwa kua kilio chako kimefika juu, na tujifunze kushukuru kwa kila jambo, nakutia moyo ndugu yangu, MWAMINI MUNGU tu usiende kwa mganga nenda kwa madaktari wanaweza kukusaidia kwa uweza wa MUNGU, kumbuka wapo walioishi na ukoma na kutengwa na jamii zao (kipindi hicho ukoma haukuwa na dawa) na hasa ndio source ya wimbo wa Tenzi uitwao KAA NAMI Ni Usiku tena, baada ya ndugu zake kumtenga na kumuacha porini ili ajifie kila siku aliimba wimbo huo na mstari mojawapo katika wimbo huo ulikua ukisemaKIFO NA KABURI HAVIUMI, sasa the same kwako Dada yangu, kwa kipindi hiki kaza moyo wako kwa MUNGU hebu fumba macho vuta hisia na kumbuka Mama yule kwenye Biblia alietokwa na damu kwa zaidi ya miaka 25, unafikiri alikua katika hali gani? Nawe yawezekana dada yakawa historia hayo. Simama kwa MUNGU tu, mkumbushe mkajadiliane, aitimize haja ya Moyo wako.
 

Thanks ma dear.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…