Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Kutokana na utopolo kupata ushindi wa ngekewa,kinachofuata sasa ni kushuhudia Derby ya mapema ktk ufunguzi wa msimu mpya wa NBC premier league.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana na Simba ya Barbra.Timu yangu lakini basiKutokana na utopolo kupata ushindi wa ngekewa,kinachofuata sasa ni kushuhudia Derby ya mapema ktk ufunguzi wa msimu mpya wa NBC premier league.
Simba wataendelea kuteseka Kwa muda mrefu sana, Mbaka watakapo tubu dhambi ya ku mhujumu Manji wakishirikiana na Makonda.
Vipigo vitaendelea mbaka washike Adabu.
Mkuu huyo ni mrundi .We uto mbaka ndiyo nn????
Kutokana na utopolo kupata ushindi wa ngekewa,kinachofuata sasa ni kushuhudia Derby ya mapema ktk ufunguzi wa msimu mpya wa NBC premier league.
Kiuhalisia hakuna shabiki wa simba hata mmoja ambaye anatamani simba ikutane na hii YANGA. Sema ndo ishatokea hakuna nam
Mechi ya leo Yanga dhidi ya Coastal union MAKOLO wengi walivaa jezi zao wakiimba sana mapambio kwenye vibanda umiza.Simba wataendelea kuteseka Kwa muda mrefu sana, Mbaka watakapo tubu dhambi ya ku mhujumu Manji wakishirikiana na Makonda.
Vipigo vitaendelea mbaka washike Adabu.
We ndiwe mbumbumbu sugu haswa wa MAKOLO, mbona ni kawaida sana matamshi hayo, ni sawa na kumkosoa aliyetamka kitu flani "kimedumbukia" kisimani na mwingine akatamka "kimetumbukia" kisimani [emoji2]We uto mbaka ndiyo nn????
Kumbuka ndio uzinduzi wa kutetema ulifanyika kwenye mechi kama hiyoKutokana na utopolo kupata ushindi wa ngekewa,kinachofuata sasa ni kushuhudia Derby ya mapema ktk ufunguzi wa msimu mpya wa NBC premier league.
SnitchKiuhalisia hakuna shabiki wa simba hata mmoja ambaye anatamani simba ikutane na hii YANGA. Sema ndo ishatokea hakuna namna
Linakufa jitu huko na paka zao, na tunguli zaoKutokana na utopolo kupata ushindi wa ngekewa,kinachofuata sasa ni kushuhudia Derby ya mapema ktk ufunguzi wa msimu mpya wa NBC premier league.
Sasa hapa unatamka au unaandika??We ndiwe mbumbumbu sugu haswa wa MAKOLO, mbona ni kawaida sana matamshi hayo, ni sawa na kumkosoa aliyetamka kitu flani "kimedumbukia" kisimani na mwingine akatamka "kimetumbukia" kisimani [emoji2]
Mambo ya Unyalukolo hayo!We uto mbaka ndiyo nn????
Mnajifanya mna hela ila mpaka sasa mmeshindwa kwenye sajili za wachezaji watatu, mmoja mmezidiwa mzigo na Yanga na wawili Yusuph Bakheresa kawazidi ujanja. Sasa sijui zile hela zenu mnazotutambia za CAF mnapeleka wapi.Na kama kawaida msimu ujao HAMNA VIPORO na nakusubiri kwa hamu ngao ya hisani, halafu wahi na kwanja lako ukafyeke uwanja wenu wa Bunju.Kutokana na utopolo kupata ushindi wa ngekewa,kinachofuata sasa ni kushuhudia Derby ya mapema ktk ufunguzi wa msimu mpya wa NBC premier league.
We ndiwe mbumbumbu sugu haswa wa MAKOLO, mbona ni kawaida sana matamshi hayo, ni sawa na kumkosoa aliyetamka kitu flani "kimedumbukia" kisimani na mwingine akatamka "kimetumbukia" kisimani [emoji2]