Furahi day - Be Happy

Mamii....!!!

this is for you! tafadhali jipatie kinyaji hiki upunguze uchovu mwilini!


waooooooooooooo yani kwako sibanduki kwa raha zote hizi acha Eiyer anitenge na parokia yake
 
Last edited by a moderator:
His excellency, Ntuzu! niseme nini kwa baraka zoote hizi? nikupe ahsante ya kifalme... peyaaaaaa!!!!

ahsante kwa kunitunuku malikia wa moyo wangu, my sweetness, my everything my sunshine.. beautiful, miss neddy!!

u hali gani huko uliko?

Nimejitolea kuifungisha Ndoa yenu bureeeee! Ata km Eiyer na Kaizer wamegoma!

Na harakaharaka naaanza kuangusha Aya! Muke atawaacha Wazazi wake na kuungana na mumewe na wote watakua mwili mmoja!
 
Last edited by a moderator:
me mzima wa afya king Excel na baaada ya kuludi bandani uzima wangu umeongezeka maradufu hebu mpe shemejio zawadi zake kwa sifa alizokutunuku

ahsante sana mke wangu... kwa jinsi ninavyokupenda, ..

tafadhali kwanza pokea ua, ishara ya upendo, mimi na wewe..

 
wine tu hizo sezae? hata ng'ombe hajaswaga? sikubali nasema sikubali
Nimejitolea kuifungisha Ndoa
yenu bureeeee! Ata km Eiyer na
Kaizer wamegoma!

Na harakaharaka naaanza kuangusha Aya! Muke atawaacha Wazazi wake na
kuungana na mumewe na wote watakua mwili mmoja!
 
Last edited by a moderator:
Nimejitolea kuifungisha Ndoa yenu bureeeee! Ata km Eiyer na Kaizer wamegoma!

Na harakaharaka naaanza kuangusha Aya! Muke atawaacha Wazazi wake na kuungana na mumewe na wote watakua mwili mmoja!

hey Ntuzu stooooooooop mama mzaa chema hayupo hapa pleaseeeeee
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…