uwii karibu karibu pita hadi ndani..........
asee,kujinyonga kisa bazazi Excel?? halafu awaache wazazi wake? atuache mi na wewe?miungu haitasamehe..lol
Niko hapa! Ila Uko tayari kupanda Ka Fisi km usafiri?
hizo dot dot sijaelewa kabisaaaaaaaaaaaaaaa
baba paroko
Hapo umemuweza kabisa!
Teh Teh Teh Teh!
najua sister but pleaseeeeeeeeeee mkubalini Excel ataleta mang'ombe
His excellency, Ntuzu! niseme nini kwa baraka zoote hizi? nikupe ahsante ya kifalme... peyaaaaaa!!!!
ahsante kwa kunitunuku malikia wa moyo wangu, my sweetness, my everything my sunshine.. beautiful, miss neddy!!
u hali gani huko uliko?
baba paroko
His excellency,
Ntuzu! niseme nini kwa baraka zoote hizi?
nikupe ahsante ya kifalme... peyaaaaaa!!!!
ahsante kwa kunitunuku malikia wa moyo wangu, my sweetness, my
everything my sunshine.. beautiful, miss
neddy!!
u hali gani huko uliko?
Ndoto ndoto za ajabu zilikuwa haziishi usiku nikahamia kigambonino.
In the name of love yote yanawezekana