Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
Furahi day tulivu kabisaa naianza weekend yangu nikiwa Maeneo ya Sport bar Kigamboni
Napata lunch yangu safi kabisa nikiwa na burudishwa na Mziki mzuri kutoka kwa EP ya Diamondplatnumz
Huyu mwana ni wasayari nyingine kabisaa hakuna kama yeye
Ila kuna wapumbavu, majobless, watu waliokosa direction ya maisha hawajui hata kama duniani Wataanza kuiponda EP ya Diamondplatnumz
Ukianza kuiponda EP ya Diamondplatnumz ebu jiulize una nini? tangu mwaka uanze umefanya nini cha maana? Na una kipi cha kumshinda Diamondplatnumz
Mostly watu wanaoponda ukiwafatilia ni vijitu vya ajabu ajabu
My favorite track list
InShot ni Zote tu ziko poa
Follow me on Twitter Mayunga234
Napata lunch yangu safi kabisa nikiwa na burudishwa na Mziki mzuri kutoka kwa EP ya Diamondplatnumz
Huyu mwana ni wasayari nyingine kabisaa hakuna kama yeye
Ila kuna wapumbavu, majobless, watu waliokosa direction ya maisha hawajui hata kama duniani Wataanza kuiponda EP ya Diamondplatnumz
Ukianza kuiponda EP ya Diamondplatnumz ebu jiulize una nini? tangu mwaka uanze umefanya nini cha maana? Na una kipi cha kumshinda Diamondplatnumz
Mostly watu wanaoponda ukiwafatilia ni vijitu vya ajabu ajabu
My favorite track list
Loyal
mtasubiri
Fine
Sona
wonder
Melody
InShot ni Zote tu ziko poa
Follow me on Twitter Mayunga234