Tunajihusisha na kutoa elimu na ushauri wa afya ( magonjwa, dawa, vyakula, urembo na vipodozi) kwa jamii zote za Tanzania na sehemu zingine nje ya Tanzania kwa lengo la kulinda na kusaidia jamii.
Kama unauhitaji tuma SMS kwa 0758 106 501, tueleze shida yako, kisha tutakupatia huduma.