Furniture nyingi siku hizi ni Mchina, watu wanadanganywa Mbao ngumu

Furniture nyingi siku hizi ni Mchina, watu wanadanganywa Mbao ngumu

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,449
Unakuta Showcase nzuriii, inavutia ukimuliza fundi hii ni mbao ya mti gani? Anakuambia Mbao ngumu, kumbe ni haya ma play wood na sijui MBF.

Unafika nyumbani jichanganye likae sehemu yenye maji sasa. Kila siku utaishia kufagia mapumba. Kwa wale wapangaji wenzangu wa kuhama hama, kadiri unavyolisumbua ndio linakufia

.
Screenshot_20230702_221834_Instagram Lite.jpg
Screenshot_20230702_221858_Instagram Lite.jpg
Screenshot_20230702_221742_Instagram Lite.jpg
Screenshot_20230702_221810_Instagram Lite.jpg
Screenshot_20230702_221552_Google.jpg
20230425_130503.jpg
20230425_143458.jpg


Ni mafundi wachache sana wenye uwezo wa kufanya finishing nzuri ya mbao ionekane kama hizo play wood hapo.

Sikuhizi mpaka majeneza kwa wenzangu wakristo yamejaa ya mchina ndugu yako anaenda kuliwa na siafu tuu huko chini.

Mbao itabaki kua mbao tuu

Screenshot_20230702_222341_Instagram Lite.jpg
Screenshot_20230702_222501_Instagram Lite.jpg
 
Nashindwa kuelewa, watu wananunua kwa kutojua, au wanajua? Na kama wanajua wanaelewa life span yake?

Siwezi nunua furniture yoyote ya play wood, na ukifika kwa wale wanaojua kuzipekecha, wakijua wana kasirika.
Haya kimbembe kinaanza kwenye kulifikisha nyumbani tuu,
Unafika ni lakuegesha,

Baada ya hapo umewasogezea panya geto/mkate, baada ya hapo angle/edges zinaanza kulika, layer inatoka...
 
Siku moja nilikuwa napiga stories na washikaji zangu mchwa na panya😅😅😅😅
Wote, walinihakikishia kuwa hizo fenicha za plywood board na mdf (medium density fibreboard) ni tamu sana😂😂😂 na ni mbovu zikigusa maji.
 
Ni muda wa kumuita fundi nyumbani na mbao zangu 😳😳😳
 
Back
Top Bottom