Nashindwa kuelewa, watu wananunua kwa kutojua, au wanajua? Na kama wanajua wanaelewa life span yake?
Siwezi nunua furniture yoyote ya play wood, na ukifika kwa wale wanaojua kuzipekecha, wakijua wana kasirika.
Haya kimbembe kinaanza kwenye kulifikisha nyumbani tuu,
Unafika ni lakuegesha,
Baada ya hapo umewasogezea panya geto/mkate, baada ya hapo angle/edges zinaanza kulika, layer inatoka...